UsijaliMi naamini kila dhambi lazima uilipie, ulipaji unaweza chelewa ila lazima muda ufike uwajibike...
Na kibaya zaidi watu bado hawajaligundua hilo "ukikielewa kifo umeyaelewa maisha"Aisee wewe mtu nenda Kwa mangi chukua safari ya baridi nakuja kulipa ukweli ndio huo
Hiyo nd kanuni nakama yasipokurudiaHivi Kwanini watu wanaamini sana katika hili??? Ninini hasa kinasababisha???
Sijui wataelewa huu ukweli,but anywayMi naamini kila dhambi lazima uilipie, ulipaji unaweza chelewa ila lazima muda ufike uwajibike...
Niko poa sana Wige!!
Missing you too...