Mimi naamini kila dhambi lazima uilipie

Mimi naamini kila dhambi lazima uilipie

Karma inafanya kazi kama wee ni Mtakatifu kwelikweli.
Lkn Et kisa umetendwa basi ndo karma impate mtu, wakati we mwenyewe ni mmbeya, muongo, mzushi ,mfitini , unadharau watu n.k

Hiyo ni utasubir karma mpaka macho yatapofuka na hujaona !!.

ALAFU, UKITENDWA ,MTU AKAKUUMIZA, WEE ACHA KUMWOMBEA NJAA

DUNIA NI KUBWA, WANAUME WAMEJAA, WANAWAKE WAMEJAAA !!


utajisikiaje, Unayemaombea Njaa, ndo anazidi Kunona??..... Watu wengi mnatabia ya kuwaombea Ma Ex wenu wakongoroke, wasifanikiweee.


Weweeeee, ungejua Hilo, usingetiana mpaka Wakati wa NDOA .!!

KAMA HUKUSIKILIZA BIBLIA NA MAFUNDISHO YA DINI UNGALI MTOTO, KUA TENDO LA NDOA, LIFANYWE WAKATI WANDOA TU.

wee umelianza mapema, alafu unaombea Karma??.


Aaahhh wajubaa, msifanye mambo kua magumu !!.
Kunywa chochote nalipa. Namaanisha chochote...bill juu yangu.
 
To yeye ndio maana nakupenda japokuwa hujui.

Leo umeongea jambo jema sana. Kuna uliyoyataja huko mwanzoni kuna mtu amenitendea, ila namuangalia tu mtesi wangu ipo siku atalipa atakiona. Hiyo ni kwa mujibu wa bandiko lako.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Upo Kama Mimi aisee roho ya kisasi nje nje ,,Kuna mtu anajitahidi kunichafua kazini sana
 
Mjadala mzito lakini hoja nyingi ni nyepesi sanaa. Mimi siamini kama karma huwa inafanya kazi. Tumeshasaidia sana watu na matokeo yake wameishia kutudharau na kutuona takataka lakini
 
Mi naamini kila dhambi lazima uilipie, ulipaji unaweza chelewa ila lazima muda ufike uwajibike.

Usichopenda kutendewa usimtendee mwenzio. Usipende kuvuruga amani ya moyo ya MTU Mwingine kwa kumkomoa tu huku wewe ukiendelea kuenjoy.

Unadanganya kibiashara, kifedha, kifamilia, kijamii na kimapenzi, pesa unakopa hulipi, unafanya biashara na MTU unadhurumu, unadanganyia pipi na kutishia visu watoto unawabaka, unamwahidi kumwoa unamwachia mimba unasepa, unaua wazazi kwa tamaa za mali.

Unatelekeza familia sababu ya anasa, unamwaminisha MTU mpo safari moja kumbe umeaminisha wengi-wastage of time(hili limenipata but time will tell). Karma is real tusipojirekebisha wapendwa.
Siyo unavyoamini, ndivyo ilivyo, hakuna dhambi isiyo na majibu,tena ni hapa hapa duniani.Na mazingira utakayolipwa ni lazima ujuwe kuwa this is a payback for what i did,Mungu ni fundi sana..
 
Kwenye dini inasema tuombe msamaha ili tusamehewe, kwenye dini inasema unapofanya ubaya utakurudi kama sio wewe kizazi chako. Sasa kama nishatubu kwa kosa langu hii karma kwanini ije inifike??.
Double entry ya Dhambi
Dr. Hukumu/Laana
Cr. Dhambi

Double entry ya matendo mama
Dr. Baraka
Cr. Matendo Mema

Kiufupi hakuna single entry kwa dhambi au matendo mema, yote yana double entry
 
Time will tell

Hahahahaha miss To yeye muda huwa upo tu na matendo ndio huwa yanazungumza. Sijawahi Ona wale Mayahudi waliomuuwa Yesu kama kuna karma yoyote iliwakuta. Na ndio maana nikasema Kama Karma ipo basi na Fate nayo ipo na hapo ndipo mambo huwa yanabalansi. Hebu fikiria kama utakuwa unaifikiria hiyo karma na kweli ingekuwa inatokea wewe si ungejiona sana Mwamba? Mungu ana njia zake za kudeal na mambo sio kama Binadamu tunavyotaka mambo yawe.
 
Mi naamini kila dhambi lazima uilipie, ulipaji unaweza chelewa ila lazima muda ufike uwajibike.

Usichopenda kutendewa usimtendee mwenzio. Usipende kuvuruga amani ya moyo ya MTU Mwingine kwa kumkomoa tu huku wewe ukiendelea kuenjoy.

Unadanganya kibiashara, kifedha, kifamilia, kijamii na kimapenzi, pesa unakopa hulipi, unafanya biashara na MTU unadhurumu, unadanganyia pipi na kutishia visu watoto unawabaka, unamwahidi kumwoa unamwachia mimba unasepa, unaua wazazi kwa tamaa za mali.

Unatelekeza familia sababu ya anasa, unamwaminisha MTU mpo safari moja kumbe umeaminisha wengi-wastage of time(hili limenipata but time will tell). Karma is real tusipojirekebisha wapendwa.
Mshahara wa dhambi ni mauti
 
We
Mi naamini kila dhambi lazima uilipie, ulipaji unaweza chelewa ila lazima muda ufike uwajibike.

Usichopenda kutendewa usimtendee mwenzio. Usipende kuvuruga amani ya moyo ya MTU Mwingine kwa kumkomoa tu huku wewe ukiendelea kuenjoy.

Unadanganya kibiashara, kifedha, kifamilia, kijamii na kimapenzi, pesa unakopa hulipi, unafanya biashara na MTU unadhurumu, unadanganyia pipi na kutishia visu watoto unawabaka, unamwahidi kumwoa unamwachia mimba unasepa, unaua wazazi kwa tamaa za mali.

Unatelekeza familia sababu ya anasa, unamwaminisha MTU mpo safari moja kumbe umeaminisha wengi-wastage of time(hili limenipata but time will tell). Karma is real tusipojirekebisha wapendwa.
Dhambi zako za kuliwa umeilipia?
 
Back
Top Bottom