Mimi naamini kila dhambi lazima uilipie

Mimi naamini kila dhambi lazima uilipie

Ninaamini itakua hivyo ikiwa from the beginning ulidhamiria kufanya hayo, lakini kama wakaui mkiwa pamoja huyo anayethani ni victim kumbe alizingua yeye ikapelekea ulichomuahidi usikitimize, basi atasubiri sana hiyo karma itokee
 
I've stopped being cool, being cool is rubbish. You be cool afu unapigika tu, you be gangster afu unaenjoy life🀣🀣🀣
 
Ninaamini itakua hivyo ikiwa from the beginning ulidhamiria kufanya hayo, lakini kama wakaui mkiwa pamoja huyo anayethani ni victim kumbe alizingua yeye ikapelekea ulichomuahidi usikitimize, basi atasubiri sana hiyo karma itokee
Vizuri
 
of coz karma is a bad bit*h and I ain't ready to face her, but i chose to neutralize that bit*h,
i take care of his needs but i don't need her
wat'ch u say
 
Kwenye dini inasema tuombe msamaha ili tusamehewe, kwenye dini inasema unapofanya ubaya utakurudi kama sio wewe kizazi chako. Sasa kama nishatubu kwa kosa langu hii karma kwanini ije inifike??.
Kizazi mpaka kizazi....πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom