Kwanza unatumia kipimo gani kujua jinsia...
Serious natamani kukuona joanah.Hahahahhah
Najua hajawahi kukosea
Serious natamani kukuona joanah.
Tuna flat.πππWana chura?
Kwani Hawachi anasemaje?
Anasema kwamba joanah ni mrembo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]watoto wakareee hakika mtoa mada hajakosea
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah kuna mmoja anajiita Cute**** ila naskia ni mfupi amekomaa mpaka jamaa akaona pesa inayomfaa ni 7800.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio.
Anapatikana Jupiter π π πMi napenda "tu" hiyo avatar yako kuliko zote humu hiyo avatar yako tu sjui huyo mdada ni wa wapi kwakweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine wote waongo bidada,π π π π , umeona eeh! Na jembe langu begani sina habari kabisa.
Asante mkuu.Wengine wote waongo bidada,
Ni wew tuπ₯°π₯°
ππππnakubaliana na wewe mkuuwe bado mgeni sana humu,soma mchezo kwanza utalizwa achana nahizo avator!Tushawakimbia sana maeneo ya appointment,unatoa na betri kabisa...mwanamke hujui mbele wapi wala nyuma ni wapi