Mimi nahisi Ben Pol anajifosi ku-date na Ebitoke

Mimi nahisi Ben Pol anajifosi ku-date na Ebitoke

Its strictly business...
Muulize homorapa atakuambia michongo ya namana hiyo inaendaje... Hata wewe ukitaka kutengenezwa unatengenezwa tuu... Cha muhimu usikiuke masharti...



Cc: mahondaw
 
Keyon unachosema ni sahihi
Ila kama ni mimi ningemkataa kibusara. [emoji116]
Ya!!!
Hata mimi nitakukataa kwa busara na kwa upana zaiidi uliusije kujenga chuki....lakini sitakuwa na wewe kwa muda sana kishaa ni kwambie haupo katika moyowangu...Kwangu Mimi huwa sifanyi hivyo.
 
Ebitoke sio mrembo kabisaaaaaa...

Alafu bado mshamba mnoo.. mporipori sana, Ben pol piga chini tafuta demu mwingine
 
Hawa date..time will tell kuna kitu kina kuja
 
Ben pol hamjamjua vizuri...jamaa yuko njiani anaelekea dodma kafika chalinze akaitwa na wale jamaa wanaouza bidhaa madishani..kama ilivyo ada inabidi acheki ameitiwa bidhaa gani..hivyo tutajua kama amenunua bidha au vipi hivyo tusubirie.
 
hakuna uhusiano wa kimapenzi kati ya ben na ebitoke. ni usanii tu, kuna kitu chini ya kapeti
 
Miongoni mwa watu nisio waamini ni wasanii wabongo
 
Siamini kama kuna watu wanayaichukulia hii ishu siriaz, kweli wabongo ni bongolala
 
Wanaume tuna huruma mno wote tutakwenda peponi.

Stereo alimtongoza Chemical live kwenye Radio na bado akatoswa Ila Ben Pol kaonyesha huruma yake.

Katongozwa asubuhi jioni kakubali.
 
Back
Top Bottom