Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Mm nimeshuhudia baadhi ya Watanzania wachache wenzetu pamoja na kua na ELIMU ya darasa la Saba lakini wana AKILI SANA ZA MAISHA...Wakati umefika ili kuwa mbunge lazima uwe na elimu ya chuo kikuu
Yuko sawaView attachment 2611001View attachment 2611002
Mimi natumia K vant na Konyagi Nina uzoefu- DKT. Musukuma ajilipua akichangia hoja Bungeni baada ya kuona pombe.....
Wabunge waangua kicheko aka waambia wasicheke hata humo Bungeni ni wengi wanatumia....
Amesema sio Dhambi pia kafanya utafiti kua maprofesa na madaktari wengi ni watumiaji baada ya kustaafu....
Hoja ilikua kwanini sisi Watanzania hatuthamini ubunifu wetu mfano GONGO iboreshwe tuna agiza nje ya nchi jack Daniels, Hennessy E.t.c....
Pombe kali ikitumiwa vizuri sio Dhambi naunga mkono hoja ya dokta Musukuma
Ni nini maoni yako......
Ukishasema wachache basi Umuhimu bado upo...Mm nimeshuhudia baadhi ya Watanzania wachache wenzetu pamoja na kua na ELIMU ya darasa la Saba lakini wana AKILI SANA ZA MAISHA...
SIDHANI KAMA ELIMU PEKE YAKE NDIO IWE KIGEZO...
ππππβΊοΈπ
Inasemekana Kuna viongozi wamesomeshwa na wazazi wao Kwa pesa ya GONGO,Gongo iboreshwe tukashindane na hennessy au JD
Haisaidii hoja zitakuwa hhizi yule Prof wajakoha wa bangi yuko wapiWakati umefika ili kuwa mbunge lazima uwe na elimu ya chuo kikuu
Katiba mpya ije tuView attachment 2611001View attachment 2611002
Mimi natumia K vant na Konyagi Nina uzoefu- DKT. Musukuma ajilipua akichangia hoja Bungeni baada ya kuona pombe.....
Wabunge waangua kicheko aka waambia wasicheke hata humo Bungeni ni wengi wanatumia....
Amesema sio Dhambi pia kafanya utafiti kua maprofesa na madaktari wengi ni watumiaji baada ya kustaafu....
Hoja ilikua kwanini sisi Watanzania hatuthamini ubunifu wetu mfano GONGO iboreshwe tuna agiza nje ya nchi jack Daniels, Hennessy E.t.c....
Pombe kali ikitumiwa vizuri sio Dhambi naunga mkono hoja ya dokta Musukuma
Ni nini maoni yako......
Ni sahihi sana ila wengi wanakua na low IQUkishasema wachache basi Umuhimu bado upo...
Wajakoha Prof. Rastafarian...hivi yule ni prof wa kitu Gani?Haisaidii hoja zitakuwa hhizi yule Prof wajakoha wa bangi yuko wapi
USSR
Mkuu katiba sio muamuzi mkuu...mbona Kenya wana KATIBA nzuri Africa alafu wanalia NJAA....Katiba mpya ije tu
Naunga mkono hoja π€£ π€£ π€£View attachment 2611001View attachment 2611002
Mimi natumia K vant na Konyagi Nina uzoefu- DKT. Musukuma ajilipua akichangia hoja Bungeni baada ya kuona pombe.....
Wabunge waangua kicheko aka waambia wasicheke hata humo Bungeni ni wengi wanatumia....
Amesema sio Dhambi pia kafanya utafiti kua maprofesa na madaktari wengi ni watumiaji baada ya kustaafu....
Hoja ilikua kwanini sisi Watanzania hatuthamini ubunifu wetu mfano GONGO iboreshwe tuna agiza nje ya nchi jack Daniels, Hennessy E.t.c....
Pombe kali ikitumiwa vizuri sio Dhambi naunga mkono hoja ya dokta Musukuma
Ni nini maoni yako......
MkuuMkuu katiba sio muamuzi mkuu...mbona Kenya wana KATIBA nzuri Africa alafu wanalia NJAA....
Cc. Charles KitwangaNaunga mkono hoja π€£ π€£ π€£
Kwa nini upo nyuma sana na maisha halisi?Wakati umefika ili kuwa mbunge lazima uwe na elimu ya chuo kikuu
Inasemwa kua Kenya ni Moja ya nchi zenye Best constitutional in africa.....Mkuu
Nani kakuhakikishia kuwa Katiba ya Kenya ni nzuri Afrika nzima?
Ukabila ni kamasi la TB kwao.
Hawa wabunge wangetumia hizi porojo zao kupaza sauti za katiba mpya ingekuwa poa sana
Mkuu tufafanulie japo kidogo ππ€Kwa nini upo nyuma sana na maisha halisi?
Na kamanda MboweCc. Charles Kitwanga
π€£π€£π€£πππ