Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kuishi na kuhisi kwamba wenye vyeti/magamba ya shule/vyuo tu ndiyo wanafaa kuwa viongozi bora wa kuistawisha nchi ni upotofu.Siyo lazima.Kwa ufupi.Mkuu tufafanulie japo kidogo 😊🤓