YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Kabisa naunga mkono hojaWakati umefika ili kuwa mbunge lazima uwe na elimu ya chuo kikuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa naunga mkono hojaWakati umefika ili kuwa mbunge lazima uwe na elimu ya chuo kikuu
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂Naona kama hajapita huku😂
Kuna ELIMU na AKILIKabisa naunga mkono hoja
True but yeye kusema hivo i think baadhi tayari watakuwa washajenga perception tofauti.Mkuu pombe kali mbona haina shida....anaweza kua hatumii ila aka amua ku cement point ya mbunge mwenzake....
Musukuma ana hoja sana kuliko baadhi ya wasomi wetu wengi tena wa degree 3😊Mkuu wasomi wa nchi hii ndo wanaosaidia nchi yetu kuendelea kuwa maskini na wananchi wake kuwa mafukara wa kutuowa. Namuelewa sana Dr Musukuma.
Anasema pombe kukitumia sio Dhambi according to yeye.....😊🤓True but yeye kusema hivo i think baadhi tayari watakuwa washajenga perception tofauti.
Kishimba pamoja ya kwamba hajasoma sana ana uwezo wa zaidi ya ma profesa 10, na ma dokta 50 kwa pamoja.Wakati umefika ili kuwa mbunge lazima uwe na elimu ya chuo kikuu
Jamaa ana uwezo sana, kweli elimu itumike kwenye fani uliosomea ...haina ujusiano na akili.Bwana Joseph kasheku musukuma ni moto moto..... *** DARASA LA SABA ILA KAFANYA HIVI NDANI YA MIAKA 5....
1..HOSPITALI KAILETA KATANI BADALA YA KATORO
2.HALMASHAURI IKALETWA KATANI BADALA YA KATORO
3.BARA BARA ZA RAMI USISEME MZEE
4.KILA KAKIJIJI KADOGO KAFUNGUA SECONDARY.
5.KILA KIJIJI KAWEKA ZAHANATI
baada ya mwenda zake huyo jamaa Kwa Kanda ya ziwa anaushawishi hata katika kujenga kitu fulani kawazidi watu wana degree 3 kajamaa la saba ila ni moto mjomba
Jamaa ana uwezo sana, kweli elimu itumike kwenye fani uliosomea ...haina ujusiano na akili.
Sent using Jamii Forums mobile
Kishimba ni mjenga hoja mzuri sana tena kwenye sekta ya ELIMU amekua aki challenge sana mfumo wetu wa ELIMU....Kishimba pamoja ya kwamba hajasoma sana ana uwezo wa zaidi ya ma profesa 10, na ma dokta 50 kwa pamoja.
Unataka wasomi bungeni kama kina kabudi, ndalichako etc?
Bora tuwe na kina Dr. Msukuma na Kishimba kama 20 bungeni wanatosha kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bungeni kuna kutunga sheria kuna kupitia mikataba je asiye na elimu anaweza fanya hayo?Mm nimeshuhudia baadhi ya Watanzania wachache wenzetu pamoja na kua na ELIMU ya darasa la Saba lakini wana AKILI SANA ZA MAISHA...
SIDHANI KAMA ELIMU PEKE YAKE NDIO IWE KIGEZO...
[emoji4][emoji4][emoji38][emoji38][emoji3526][emoji2]
SureNisikitike kusema Kuna watu wana ELIMU kubwa lakini wanazidiwa akili na maono na darasa la Saba & vice versa is true
Yuko vizuri sanaKishimba ni mjenga hoja mzuri sana tena kwenye sekta ya ELIMU amekua aki challenge sana mfumo wetu wa ELIMU....
Wanasema GONGO Ina methane ambayo ni hatari Kwa afya....Wauza gongo wawe na umoja, waombe shirika la viwango lipime hiyo gongo, kama Ina viwango iingie sokoni.
Elimu na Akili ni vitu tofaiti. Unaweza kuwa na karatasi ya Chuo lakini usiwe mwenye akiliWakati umefika ili kuwa mbunge lazima uwe na elimu ya chuo kikuu
TrueElimu na Akili ni vitu tofaiti. Unaweza kuwa na karatasi ya Chuo lakini usiwe mwenye akili
Ok.Msanii wa bongo flavors
Asante pia..Ahsante kwa taarifa...