Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1]Haahaa,
Nimesikia mpina kabishana na Bunge Zima[emoji4][emoji4][emoji2][emoji2]
Sheria. Ni wakili wa kujitegemea kwa miaka zaidi ya 25Wajakoha Prof. Rastafarian...hivi yule ni prof wa kitu Gani?
Kwa wasomi gani wa vyuo vikuu? Vyuo Tanzania vinazalisha Chawa wengi kuliko wasomi.Wakati umefika ili kuwa mbunge lazima uwe na elimu ya chuo kikuu
Shukran sana mkuuSheria. Ni wakili wa kujitegemea kwa miaka zaidi ya 25
Wanakataa reality wana pambania matumbo Yao......Kwa wasomi gani wa vyuo vikuu? Vyuo Tanzania vinazalisha Chawa wengi kuliko wasomi.
Ila kwenye bangi hii ni ajenda nyingine 😊😊hatujamalizana na Bangi wanatuchanganya na kvant..
Eeewa dukani kwa mangi ni 9500/-Bei elekezi
Bei elekezi halisi 😊Eeewa dukani kwa mangi ni 9500/-
Ewaaa ni 9500/- Chupa KubwaBei elekezi halisi 😊
Ushetu si ni shinyanga....Musukuma ajengewe sanamu pale USHETU...
Msanii wa bongo flavorsNdo nani?
Mkuu pombe kali mbona haina shida....anaweza kua hatumii ila aka amua ku cement point ya mbunge mwenzake....Sahivi akiwa anaropoka vitu vyake directly tutajua ni akili ya k vant na konyagi.
Ushimen
Mimi natumia K vant na Konyagi Nina uzoefu- DKT. Musukuma ajilipua akichangia hoja Bungeni baada ya kuona pombe.
Wabunge waangua kicheko aka waambia wasicheke hata humo Bungeni ni wengi wanatumia.
Amesema sio Dhambi pia kafanya utafiti kua maprofesa na madaktari wengi ni watumiaji baada ya kustaafu.
Hoja ilikua kwanini sisi Watanzania hatuthamini ubunifu wetu mfano GONGO iboreshwe tuna agiza nje ya nchi jack Daniels, Hennessy E.t.c
Pombe kali ikitumiwa vizuri sio Dhambi naunga mkono hoja ya dokta Musukuma
Ni nini maoni yako.
Last emperor said...Amekosea nini hapo?
Umemtag kabisa🤓🤓🤓
Mkuu wasomi wa nchi hii ndo wanaosaidia nchi yetu kuendelea kuwa maskini na wananchi wake kuwa mafukara wa kutuowa. Namuelewa sana Dr Musukuma.Wakati umefika ili kuwa mbunge lazima uwe na elimu ya chuo kikuu
Naona kama hajapita huku😂Umemtag kabisa🤓🤓🤓