Ila jf noma sana mwaka 2011 kama sikosei aliluja mwamba mmoja hivi akajimwambafy yeye anaishi ulaya na alipokuja kubanwa alipokuja kubanwa alipotea mazima ndio kinaenda kumkuta huyu cosmonaut wa nasanyoko
Allahu Akbar. Mkuu wa majeshi ya Israel kwa kauli yake mwenyewe, amekiri kushindwa vita na Hamas. Israel imethibitisha kuwa imeshindwa kufikia malengo yake ya vita katika Ukanda wa Gaza wakati waasi wa IDF wakijiondoa kutoka sehemu kubwa ya eneo la Palestina baada ya mapigano ya miezi kadhaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.