Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
- Thread starter
- #141
Sawa mkuuMie sio mtoto
Kwa umri ni baba yako au mume wa mama yako.
Akhsante na karibu
Heshima yako
Turudi kwenye mjadala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuMie sio mtoto
Kwa umri ni baba yako au mume wa mama yako.
Akhsante na karibu
Nimelijibu hili swali cheki majibu yangu ya nyuma.Kama alitua mbona mpaka leo NAsa au merican hawajarudi mwezini?
Au nikujibu tu mkuuTafsiri ya...
Show run config- ni nini?
Go straight ni technology gani ilitumika kwa mawasiliano ground station na rocket?kuhusu mafuta ni sawa lkn kuna zinazotumia nguvu ya nuclear right?Ni kwambie tu mkuu jamii inachotumia sio U.S.A au mataifa makubwa yanatumia.
Technolojia ni kubwa kuliko unavyodhani wenzetu wako mbali sana.
Fuatilia Edward snowden leaks utajifunza kitu ukipata ugumu nijulishe nitashare na wewe some files.
Kusuhu rocket kusafiri miaka 40 sio kweli mkuu maana rocket zinatumia mafuta.
😂😂😂 Shkamoo kaka NASA, watu wamefukua makaburiHabari wakuu
Leo nipo free uliza swali lolote la mawasiliano... nina uzoefu wa miaka mitano katika mawasiliano hapa NASA.
shukrani
Habari yako Mkuu....Habari wakuu
Leo nipo free uliza swali lolote la mawasiliano... nina uzoefu wa miaka mitano katika mawasiliano hapa NASA.
shukrani
Saturn V (apollo 11) kulikuwa na service module ambayo ilikuwa inatumia S-band for up and downlink for services such as tracking,voice na data.Go straight ni technology gani ilitumika kwa mawasiliano ground station na rocket?kuhusu mafuta ni sawa lkn kuna zinazotumia nguvu ya nuclear right?
Tatizo hayajustify chochote😂😂😂 Shkamoo kaka NASA, watu wamefukua makaburi
Safi tu kiongoziHabari yako Mkuu....
Angalau 👍Au nikujibu tu mkuu
Hii inaonyesha running configuration au configuration kwenye RAM(volatile memory)
Ufafanuzi wa yule dada aliyeandika vitabu vyenye ukubwa kama wa kuandika PhD thesis. Mamia ya vitabu ili kutengeneza CODE ya kwenda mwezini.Ulizeni maswali technical
NASA ya Gamboshi kwa wachawi wenzakoHabari wakuu
Leo nipo lol free uliza swali lolote la mawasiliano... nina uzoefu wa miaka mitano katika mawasiliano hapa NASA.
shukrani
Ila wewe jamaa ni noumaaa unarudi zakuwafukunyua watu nyuzi zao za nyumaHivi ulishapata kazi ya kufuta vumbi kompyuta za maofisi ya serikali?
Sahili za vitendo (practical) kada network administrator wanatoa maswali ya namna gani?
Habari Nimeitwa kwenye practical ya utumishi kada network administrator, ningependa kupata hints jinsi namna maswali yanavyotoka na ni part ipi nijiandae vizuri.www.jamiiforums.com
Mfanyakazi wa NASA pia aliwahi washwa na matako akaja omba msaada humu.. na mkaficha siri?! Thread 'Msaada: Muwasho mkali makalioni baada ya kutembea na mke wa mtu' Msaada: Muwasho mkali makalioni baada ya kutembea na mke wa mtuHivi ulishapata kazi ya kufuta vumbi kompyuta za maofisi ya serikali?
Sahili za vitendo (practical) kada network administrator wanatoa maswali ya namna gani?
Habari Nimeitwa kwenye practical ya utumishi kada network administrator, ningependa kupata hints jinsi namna maswali yanavyotoka na ni part ipi nijiandae vizuri.www.jamiiforums.com
😅😅🤣🤣NASA sehemu Gani? Niko Namanyili hapa
Akikujibu nitagHebu tupe maana ya..
mpls label protocol I dp label allocate 100-200 range 1000 - 2000
DadekiYule Jogoo aliyewika baada ya Petro kumkana Yesu mara tatu alikuwa wa nani? Na alikuwa anatuma mawasiliano kwa nani?