maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,408
- 6,094
Nafkiri ni solar...mkuuRocket zilizorushwa miaka ya 60-70 na ambazo bado zinasafiri anga za mbali,zinatumia technology gani kuwa controlled ama mmazimonitor vp?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafkiri ni solar...mkuuRocket zilizorushwa miaka ya 60-70 na ambazo bado zinasafiri anga za mbali,zinatumia technology gani kuwa controlled ama mmazimonitor vp?
Si kweli ngoja aje kujibu,miaka hiyo hatukua na wigo mpana wa computer,swali langu liko hapo,mawasiliano ya hicho chombo na dunia yalifanyika vp na yanaendelea kwa namna gani?Nafkiri ni solar...mkuu
Rocket control ni autopilot ... ground station kazi yao ni kumonitor the process tu lakini pia crew member wanacontrol chache sana mfano kuinitiate na kuabort the mission.Rocket zilizorushwa miaka ya 60-70 na ambazo bado zinasafiri anga za mbali,zinatumia technology gani kuwa controlled ama mmazimonitor vp?
Hili sio kweli kuna jamaa mmoja nafkiri ni mchaga ana cheo kikubwa sana Nasa na nafkiri hata ulinzi anao ngoja nitakutaftia jinaKwa sheria ya marekani, huwezi kuajiriwa wala kufanya kazi kwenye sekta ya anga la juu kama sio mzaliwa wa marekani au raia wa asili wa marekani.
Hili sio kweli kuna jamaa mmoja nafkiri ni mchaga ana cheo kikubwa sana Nasa na nafkiri hata ulinzi anao ngoja nitakutaftia jin
Kwamba sio US citizen? Hakuzaliwa marekani?Hili sio kweli kuna jamaa mmoja nafkiri ni mchaga ana cheo kikubwa sana Nasa na nafkiri hata ulinzi anao ngoja nitakutaftia jina
-NASA Website, CareersOther than extremely rare exceptions, you must be a U.S. citizen in order to work for NASA as a civil service employee.
Fuatilia vizuri.Kwa sheria ya marekani, huwezi kuajiriwa wala kufanya kazi kwenye sekta ya anga la juu kama sio mzaliwa wa marekani au raia wa asili wa marekani.
Mimi? Nifuatilie nini?Fuatilia vizuri.
Other than?Kwamba sio US citizen? Hakuzaliwa marekani?
-NASA Website, Careers
So ground station walitumia computer programs toka kipindi hicho?na kuna rocket ambayo imerushwa miaka zaidi ya arobaini na bado inasafiri?Si kweli ngoja aje kujibu,miaka hiyo hatukua na wigo mpana wa computer,swali langu liko hapo,mawasiliano ya hicho chombo na dunia yalifanyika vp na yanaendelea kwa namna gani?
Mkuu hujanijibu..au na mm maswqli yangu ni ya kitoto?Other than?
Umeniuliza nini mbona siwaelewi?Other than?
Mimi nimesoma Harvard
Mie sio mtotoacha utoto
Ni kwambie tu mkuu jamii inachotumia sio U.S.A au mataifa makubwa yanatumia.So ground station walitumia computer programs toka kipindi hicho?na kuna rocket ambayo imerushwa miaka zaidi ya arobaini na bado inasafiri?