Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Aulizwe kama alisikia adhan mwezini na kusilim🤣🤣Ungemuuliza jee kweli aliwahi kutua ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aulizwe kama alisikia adhan mwezini na kusilim🤣🤣Ungemuuliza jee kweli aliwahi kutua ?
acha utotoHebu tupe maana ya..
mpls label protocol I dp label allocate 100-200 range 1000 - 2000
Kuna rocket engine inatoa chombo mwezini mpaka lunar orbit then inapeleka chombo mpaka sehemu ambayo gravity ina takeover.Nguvu ya kuinua chombo kutoka mwezini wakati wa kurudi ilipatikanaje?......zingatia huku duniani tulishuhudia lile dubwasha linavyoondoka kwa nguvu nyingi.....iweje mwezini inyanyuke kama ka mdudu?
Ukweli mtupuInabidi kashata ziletwe kabisa tuendelee kupata chai...[emoji477][emoji477]View attachment 2958461
Harvard driving school hii ya sinza ama?Harvard mkuu
Je Aliens wapo?! Je kuna Uhusiano wowote kati ya Aliens na NASA?1Habari wakuu
Leo nipo free uliza swali lolote la mawasiliano... nina uzoefu wa miaka mitano katika mawasiliano hapa NASA.
shukrani
Harvard nursery and primary schools in Chang'ombe Tabata. 😁Harvard driving school hii ya sinza ama?
NASA ya Wilayani Magu au ya wapi??Habari wakuu
Leo nipo free uliza swali lolote la mawasiliano... nina uzoefu wa miaka mitano katika mawasiliano hapa NASA.
shukrani
hakuna uthibitisho wa uwepo wa alliensJe Aliens wapo?! Je kuna Uhusiano wowote kati ya Aliens na NASA?1
Acha utoto uliza maswali ya msingi we unadhani NASA ni packet tracer.Tafsiri ya...
Show run config- ni nini?
Nipo nikimbie kwa vimaswali vyako vya cisco commands?Upo?
Kuna baadhi ya watu hawa conspiracy theorists katika mitandao ya kijamii, wamekuwa wanazungumza kuhusu project leviathan na uhusiano wake na NASA, Je kuna lolote hapo? Unazungumziaje kuhusu hili Mkuu?!hakuna uthibitisho wa uwepo wa alliens
Oya mfanyakazi nasa embu fanya tasaf japo dolar 200 mkuu .kazi njemaHabari wakuu
Leo nipo free uliza swali lolote la mawasiliano... nina uzoefu wa miaka mitano katika mawasiliano hapa NASA.
shukrani
Sifahamu kuhusu project leviathan lakini NASA wanahusishwa na conspiracy nyingi lakini ukweli ni kwamba mara nyingi hakunaga ukweli wowote sisi tupo ethical and technical.Kuna baadhi ya watu hawa conspiracy theorists katika mitandao ya kijamii, wamekuwa wanazungumza kuhusu project leviathan na uhusiano wake na NASA, Je kuna lolote hapo? Unazungumziaje kuhusu hili Mkuu?!
😂😂😂Oya mfanyakazi nasa embu fanya tasaf japo dolar 200 mkuu .kazi njema
Kwahiyo hapo mawasiliano yako wapi kwenye hili swaliNaomba kujua kama kuna tochi inayowasha giza kwenye mwanga
Rocket zilizorushwa miaka ya 60-70 na ambazo bado zinasafiri anga za mbali,zinatumia technology gani kuwa controlled ama mmazimonitor vp?Habari wakuu
Leo nipo free uliza swali lolote la mawasiliano... nina uzoefu wa miaka mitano katika mawasiliano hapa NASA.
shukrani