Mimi ni Mhandisi wa Mawasiliano NASA, uliza swali lolote utajibiwa

Mimi ni Mhandisi wa Mawasiliano NASA, uliza swali lolote utajibiwa

safari ya kwanza ilikuwa ni kushinda mbio za nani wa kwanza kufika mwezini.

NASA sasa hivi tumeamua kuprioritize international space station, robotic exproliation na other programs.

Pia cost ni kubwa sana nature ya safari ya mwezini issue si umbali tu kuna factors nyingi sana.

Lastly, sasa hivi kwenda mwezini ni more of a prestigious trip kuliko faida.
Hujajibu swali kwa ufasaha... Hizo factors ni zipi? Kama iliwezekana kwenda mwezini miaka hiyo mingi iliyopita, ni kwanini sasa mnapotaka kurudi iwachukua muda mrefu wa maandalizi na huku mmeshusha vyombo zaidi pale Mars kuliko mwezini? Kama mnaweza kupeleka vyombo zaidi Mars kwa kipindi hiki chote, kwanini sio mwezini ambapo ni karibu zaidi na kwanini maandalizi yachukue muda mrefu wakati mliweza kipindi amabcho hata computer iliyokuwa inaongoza mision yote haikuwa na ram ya 250mb wala processor yenye uwezo wa intel atom. With all these advancements, kwanini inawachukua muda sana. Hili ndilo swali langu.
 
Dogo, kubali umedanganya kisha uje PM nikupe kazi.

Depression za kukosa kazi mbaya sana usije ukaishia kuuza viungo vyako.

Offer ipo for 30mins pekee. Omba msamaha kwa kudanganya ndo uje PM
Mi kazi ninayo ni mhandisi wa mawasiliano NASA.

We unafanya kazi gani?
 
Hujajibu swali kwa ufasaha... Hizo factors ni zipi? Kama iliwezekana kwenda mwezini miaka hiyo mingi iliyopita, ni kwanini sasa mnapotaka kurudi iwachukua muda mrefu wa maandalizi na huku mmeshusha vyombo zaidi pale Mars kuliko mwezini? Kama mnaweza kupeleka vyombo zaidi Mars kwa kipindi hiki chote, kwanini sio mwezini ambapo ni karibu zaidi na kwanini maandalizi yachukue muda mrefu wakati mliweza kipindi amabcho hata computer iliyokuwa inaongoza mision yote haikuwa na ram ya 250mb wala processor yenye uwezo wa intel atom. With all these advancements, kwanini inawachukua muda sana. Hili ndilo swali langu.
Mkuu priorities... mars tunaangalia uwezekano wa kuishi huko mwezini kuna faida gani?
 
Mkuu priorities mars tunaangalia uwezekano wa kuishi huko mwezini kuna faida gani?
Kwanini mwezini isiwezekane kuishi? Kuna tofauti gani ya kuishi mwezini na Mars? Maana mpaka sasa mnasema mmeona traces of water chini lakini hamjawez akuthibitisha uwepo wake kiuhalisia. Same ili watu kusurvive itabidi makazi yawe underground ili wasiwe kudhurika kwa radiations. So, tofauti yake na mwezi ni ipi? Ni kipi ambacho Mars inakioffer mpaka sasa ambacho mwezi hauna mkuu?
 
Kuna mambo hata wewe huwezi kujua mfano conspiracy ya landing on the moon..., sababu according to the conspirators hata Neil mwenyewe hakujua kama amekwenda au hakwenda alikuwa kwenye lidubwasha sehemu fulani anadhani ni mwezini... Yaani hii ni mfano wa movie / novel ya The Manchurian Candidate
 
Inabidi kashata ziletwe kabisa tuendelee kupata chai...[emoji477][emoji477]
FB_IMG_1705089700649.jpg
 
Back
Top Bottom