Mimi ni Mhandisi wa Mawasiliano NASA, uliza swali lolote utajibiwa

Ila jf noma sana mwaka 2011 kama sikosei aliluja mwamba mmoja hivi akajimwambafy yeye anaishi ulaya na alipokuja kubanwa alipokuja kubanwa alipotea mazima ndio kinaenda kumkuta huyu cosmonaut wa nasanyoko
 
Yule jamaa ilibidi mods wamsaidie kwa kufunga uzi wake maana aligeuka kituko tukumbushane jina la yule jamaa aisee mnaokumbuka.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…