Mimi ni Mkristo nataka kufunga ndoa ya mitala nafanyaje?

Mimi ni Mkristo nataka kufunga ndoa ya mitala nafanyaje?

Habari wanajf

Mimi ni mkristo Moja Kati ya ndoto zangu ni kuwa na wake wawili mmoja muislamu mwingine mkristo.Hii kitu imekuwa ikija kichwani hivi karibuni kwasababu nimekuwa na bahati ya kupata mabinti wa kislamu Tena unakuta ni wife material wanastahili kuwekwa ndani na nimekuwa nikidumu nao kwenye mahusiano kwa muda mrefu shida inakuja kwa Wazazi wao ili nioe binti zao ni lazima eti niibadilishe dini kwanza sasa hiki kitu sikitaki.kwanini nataka mmoja awe wa kikristo mwingine muislamu? Kwababu ili kutocomplicate vitu especially kwa upande wa mke wa kislamu abakie na dini yake na watoto nitakayozaa nae wafate dini ya mama yao hapo nitakuwa nimewaridhisha Wazazi wake

Naombeni ushauri nifanyeje nioe ndoa ya namna hii ya mke mmoja wa kikristo mwingine wa kislamu
Wewe Kasilimu uoe wanne kabisa. Hivi unafikiri kulea nyumba zaidi ya moja na familia hizo ziishi maisha poa ni mchezo siyo? Oa hata 10
 
Habari wanajf

Mimi ni mkristo moja kati ya ndoto zangu ni kuwa na wake wawili mmoja muislamu mwingine mkristo. Hii kitu imekuwa ikija kichwani hivi karibuni kwasababu nimekuwa na bahati ya kupata mabinti wa kislamu tena unakuta ni wife material wanastahili kuwekwa ndani na nimekuwa nikidumu nao kwenye mahusiano kwa muda mrefu.

Shida inakuja kwa Wazazi wao ili nioe binti zao ni lazima eti niibadilishe dini kwanza sasa hiki kitu sikitaki. Kwanini nataka mmoja awe wa kikristo mwingine muislamu? Kwababu ili kutocomplicate vitu especially kwa upande wa mke wa kislamu abakie na dini yake na watoto nitakaozaa nae wafate dini ya mama yao hapo nitakuwa nimewaridhisha Wazazi wake.

Naombeni ushauri nifanyeje nioe ndoa ya namna hii ya mke mmoja wa kikristo mwingine wa kislamu
Wewe sio mkristo. Wewe unadhani kukulia familia ya kikristo au kwenda kanisani ndio ukristo?
 
Kuna Wakristo kadhaa wana wake zaid ya mmoja cha msingi uwe na msimamo

Hayati Edward Moringe Sokoine alikuwa Mkristo mzuri tu na alikuwa na wake wawili na hata alipokufa alizikwa kwa heshma zote za kanisa

Hayati Samwel Sitta sio tu alikuwa Mkristo mzuri bali alikuwa ni mmoja wa Wazee wa kanisa lakin alikuwa na Wake wawili na hata alipokufa alizikwa kwa heshma zote za imani yake mmoja unaoa kanisani. mwingine bomani au kimila

Kuna Mzee mwenzangu wa kingoni yeye ana wake watatu na ni mkristo na kanisani kama kawaida na hata zile Jumuiya za kila Jumamosi asubuhi zinazunguka kwa wake zake wote watatu ila Ngawira kwa maana ya rasilimali fedha anazo za kutosha
Wewe hufahamu chochote kuhusu ukristo. Kwenda kanisani au kuwa kiongozi wa dhehebu hakukufanyi kuwa mkristo.
 
Habari wanajf

Mimi ni mkristo moja kati ya ndoto zangu ni kuwa na wake wawili mmoja muislamu mwingine mkristo. Hii kitu imekuwa ikija kichwani hivi karibuni kwasababu nimekuwa na bahati ya kupata mabinti wa kislamu tena unakuta ni wife material wanastahili kuwekwa ndani na nimekuwa nikidumu nao kwenye mahusiano kwa muda mrefu.

Shida inakuja kwa Wazazi wao ili nioe binti zao ni lazima eti niibadilishe dini kwanza sasa hiki kitu sikitaki. Kwanini nataka mmoja awe wa kikristo mwingine muislamu? Kwababu ili kutocomplicate vitu especially kwa upande wa mke wa kislamu abakie na dini yake na watoto nitakaozaa nae wafate dini ya mama yao hapo nitakuwa nimewaridhisha Wazazi wake.

Naombeni ushauri nifanyeje nioe ndoa ya namna hii ya mke mmoja wa kikristo mwingine wa kislamu
Hilo ni pepo la Ngono linakusumbua blood, Mkristo halisi Anayeongozwa na Roho wa Mungu Hawezi kuoa wake wawili au zaidi.

Mungu Alisema Atamfanyia mwanaume MSAIDIZI na Si WASAIDIZI.........

USHAURI: Omba Mungu akupatie MSAIDIZI wa kufanana naye au ukiona ukristo haukufaii basi Silimu uwe Muislam sababu Huko Hata Wanne unaruhusiwa Ni wewe tu na Uwezo wako.....So Hilo Wazo lakuoa wake wawili wa Dini Tofauti mimi sikushauri kuna Mahali UTAKWAMA,, chagua moja kusuka au kunyoa usiwe Vugu Vugu.
 
Hilo ni pepo la Ngono linakusumbua blood, Mkristo halisi Anayeongozwa na Roho wa Mungu Hawezi kuoa wake wawili au zaidi.

Mungu Alisema Atamfanyia mwanaume MSAIDIZI na Si WASAIDIZI.........

USHAURI: Omba Mungu akupatie MSAIDIZI wa kufanana naye au ukiona ukristo haukufaii basi Silimu uwe Muislam sababu Huko Hata Wanne unaruhusiwa Ni wewe tu na Uwezo wako.....So Hilo Wazo lakuoa wake wawili wa Dini Tofauti mimi sikushauri kuna Mahali UTAKWAMA,, chagua moja kusuka au kunyoa usiwe Vugu Vugu.
Sio kwasababu ya ngono la hasha! Mke mmoja imekuwa kama pasua kichwa na akijua ndio hivyo hawezi kuachwa basi shida inazidi kuwa kubwa lakini kwa mtazamo wangu wakiwa wawili kuna heshima inakuja
 
Hilo ni pepo la Ngono linakusumbua blood, Mkristo halisi Anayeongozwa na Roho wa Mungu Hawezi kuoa wake wawili au zaidi.

Mungu Alisema Atamfanyia mwanaume MSAIDIZI na Si WASAIDIZI.........

USHAURI: Omba Mungu akupatie MSAIDIZI wa kufanana naye au ukiona ukristo haukufaii basi Silimu uwe Muislam sababu Huko Hata Wanne unaruhusiwa Ni wewe tu na Uwezo wako.....So Hilo Wazo lakuoa wake wawili wa Dini Tofauti mimi sikushauri kuna Mahali UTAKWAMA,, chagua moja kusuka au kunyoa usiwe Vugu Vugu.
Mtoa mada ni mfuasi wa mudi
Ziko nyuzi nyingi anaonyeshga misimamo yake
 
Mtoa mada ni mfuasi wa mudi
Ziko nyuzi nyingi anaonyeshga misimamo yake
Ebu niwie radhi sio muislamu na wala siipendi dini ya kislamu lakini navutiwa sana na mademu wa kislamu
 
Kwenye Biblia hatuna Andiko la hivyo! Labda Uhamie huko kwingine,Usituchoshe hapa na Tamaa zako...
 
Kuna Wakristo kadhaa wana wake zaid ya mmoja cha msingi uwe na msimamo

Hayati Edward Moringe Sokoine alikuwa Mkristo mzuri tu na alikuwa na wake wawili na hata alipokufa alizikwa kwa heshma zote za kanisa

Hayati Samwel Sitta sio tu alikuwa Mkristo mzuri bali alikuwa ni mmoja wa Wazee wa kanisa lakin alikuwa na Wake wawili na hata alipokufa alizikwa kwa heshma zote za imani yake mmoja unaoa kanisani. mwingine bomani au kimila

Kuna Mzee mwenzangu wa kingoni yeye ana wake watatu na ni mkristo na kanisani kama kawaida na hata zile Jumuiya za kila Jumamosi asubuhi zinazunguka kwa wake zake wote watatu ila Ngawira kwa maana ya rasilimali fedha anazo za kutosha
Umemsahau Magufuli alikuwa wake wawili
 
Kumbe unandoto basi endelea kuota mana wewe sio mkristo.
I hope hujakulia familia ya baba na mama yenye utulivu, pole
 
Mzee una nguvu za kiume za kutosha hao wake wawili?na uchumi je unarihusu?usije ukaoa halafu ukaanza kusaidiwa na wajanja mwisho yakatokea majanga
 
Back
Top Bottom