- Thread starter
- #41
Asante kwa ushauriMmoja tu wakwanza ndio atatambulika kidini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa ushauriMmoja tu wakwanza ndio atatambulika kidini
Sababu ya kishamba sababu Familia ya Mke na Mme mmoja ndo zinadumu hata Mifano ipo Mingi Duniani wengine hadi wanazeeka pamoja,,Pia unaweza ukawa na wawili na wakakusumbua vilevile au UKAFELI/ UKATESEKA Kuwahudumia,, Tena Utajuta kwann ulioa wawili ....Ndo Maana Nimekwambia Omba Mungu Akupatie mke anayekufaa na Kwa Imani kabisa utapata MSAIDIZI Wako Ambaye Mungu amekuandalia.Sio kwasababu ya ngono la hasha! Mke mmoja imekuwa kama pasua kichwa na akijua ndio hivyo hawezi kuachwa basi shida inazidi kuwa kubwa lakini kwa mtazamo wangu wakiwa wawili kuna heshima inakuja