Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

Mimi mwenyewe nikiwaza mabikra 70 wenye macho mfano wa vikombe (just imagine Mwajuma Ndala Ndefu wa Midizini Manzese tu ananipagawisha na macho yake vipi hao huko peponi?) plus pipa za pombe sijioni nikitoboa kabisa.

Niombeeni nishinde vishawishi,ukweli huko hakuna kitu lakini mimi hizo ahadi tu!!!
 
Weka bayana point yako, yesu kwako ni nani?,
1) mungu
2)mwana wa mungu
3) Mtume

Note yesu haku weza kushinda (acha kukaza fuvu) , ni kama MUSSA tu au Nuhu hakuna aliyeshinda
 
Nataka kujua yesu ame m made vipi ? Yesu ni nani mpaka aumbe binadamu?
Yesu ni mtoto wa Mariamu , akicheza mdako na watoto wenzake , akitawazishwa mavi, hata mbu hawezi kuuma , hapo anajua mwenyewe alimfanya nini kijana hata akawa shoga
 
Amemuumbaje na amemtengenezaje ?
anajua vipi alimfanya akawa shoga kama yule aliyeiweka chupi begani baadaye akaitupa akakimbia mbio kule kwenye vichaka vya bustani ya Gesthemane
 

Too strange to be a coincidence!

According to the Biblical account, Pilate offered the Jews the release of just one prisoner and the cursed race chose Barabbas rather than gentle Jesus.

But hold on a minute: in the original text studied by Origen (and in some recent ones) the chosen criminal was Jesus Barabbas – and Bar Abba in Aramaic means ‘Son of the Father’!

Are we to believe that Pilate had a Jesus, Son of God and a Jesus, Son of the Father in his prison at the same time??!!

Perhaps the truth is that a single executed criminal helped flesh out the whole fantastic fable.

Gospel writers, in scrambling details, used the Aramaic Barabbas knowing that few Latin or Greek speakers would know its meaning.
 


Born in a Stable?

Was Jesus born in a stable?

Or a barn?

Or a cave?

Luke* says only a manger. There was no room for him in the kataluma (“inn” or guest room).

But Joseph supposedly had returned to his ancestral home, “the lineage of David”. So the place should have been chock-full with his own relatives.

And not one of them would accommodate a heavily pregnant woman? Tut-tut.

The reality is that the story of Jesus is enhanced by the “humble birth”.

Early Christians were taken by the idea that he was, in fact, born in a cave. Can you get any more humble than that?

* Matthew, a tad more realistic, says, “And when they had come into the house …” (2.11).
 
Sio kila Muislam anaweza kuingia kwenye kila msiki ondoa kwanza hilo neno Shia hawezi kuingia Sunni na Sunni hawezi kuingia Alawiyah
Asilimia 99.99% tunakutana msikitini, hapo kwenye kuto kushare msikitini ni asilimia ndogo sna, hao shia, nk wapo wachache, mfano TRH ni shia tena ni raisi, Sasa ndani Kuna msikiti na wafanyakazi wanao utumia shia na madhehebu ya Sunni, ispokua kila Mtu na kiongozi wake ila ni same msikiti,


Pia hao shia,ahmadiya nk wanaenda kuhiji Makkah au hawaendi??,

Na wakienda Makkah huwa wana swali au lah?

Na wakiwa huko Makkah Ktk kuhuji wana swali Ktk misikiti yao au waliyo ikuta hapo?,

Na wana swali peke yao au na wenzao?

Ktk misikiti yenye thawabu na barka kuswali, je hiyo yao ipo??
Hapo hamna hoja
 
Hapana dada Jagina hayo ni mafundisho ya Allah akbaru ambae ni = na shwetani.

Aaaah hapana nimekosea, eti nasikia mudi yeye anakaupendeleo cha mabikira 80.
Kama una hoja toa hoja ila kimsingi YESU si MUNGU na si mwana wa MUNGU, bibilia ina sisitiza hivo
 
Hebu thibitisha hapa huko kuzaliwa mara ya pili
 
Tumia akili yesu anasema kuto kuoa wala kuolewa kwa ajili ya mungu ni chaguo bora zaidi sasa ushoga umetoka wapi hata kilogic inagoma ...haya eleza wewe towashi ni nani ? Soma hapa wewe kiazi mbatata
Hayo ni maneno ya YESU kweli?
 
Yesu ni mtoto wa Mariamu , akicheza mdako na watoto wenzake , akitawazishwa mavi, hata mbu hawezi kuuma , hapo anajua mwenyewe alimfanya nini kijana hata akawa shoga
Wewe umesema ame m made tuambie amewezaje?
 
Sina uhakika kama kuna watu wanauliwa na kama wapo itabidi nihakikishe kuwa kweli Waislamu ndio wanaowaua halafu nijue sababu then ndo nijudge
Achana nae kwani mungu wa bibilia haku ua watu?, tena kaua mamilioni
Syria kuna ugomvi wa ki mamlaka (uongozi) na siyo ugomvi wa dini, waislamu huko Syria hawaku uliwa?, mbona wewe hauku lalamika hapa
 
Hayo ni maneno ya YESU kweli?
MBONA NI MANENO YA YESU YANAYO JULIKANA KABISA AU UNAOGOPA KUWA YANAWAPA POINT 12 WALE TEAM KATAA NDOA 😁😁😁😁 na ndiyo maana yesu akuoa wala kuwa na mwanamke ...huyo tunaye bishana naye anayajua hayo maana Aya kaposti mwenyewe ambayo Yesu aliongelea ndoa na kusema kiasili toka mwanzo mungu alisema mke mmoja na mume mmoja maana Mungu alisema alisema 👉 mtu na atamwacha babaye na manage na kuambatana na mkewe na hao wawili watakuwa mwili mmoja hata si wawili tena bali mwili mmoja.
Ngoja nikukopie ile Aya yote maana nilisha post huko nyuma .

HAYA SOMA MATAYO

Mathayo 19
3. Basi Mafarisayo wakamwendea, Yesu wakamjaribu, wakimwambia, Je! Ni halali mtu kumwacha mkewe kwa kila sababu?
4. Akajibu, akawaambia, Hamkusoma ya kwamba yeye aliyewaumba mwanzo, aliwaumba mtu mume na mtu mke,
5. akasema, Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja?
6. Hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi aliowaunganisha Mungu, mwanadamu asiwatenganishe.
7. Wakamwambia, Jinsi gani basi Musa aliamuru kumpa hati ya talaka, na kumwacha?
8. Akawaambia, Musa, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu, aliwapa ruhusa kuwaacha wake zenu; lakini tangu mwanzo haikuwa hivi.
9. Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
10. Wanafunzi wake wakamwambia, Mambo ya mtu na mkewe yakiwa hivyo, haifai kuoa.
11. Lakini yeye akawaambia, Si wote wawezao kulipokea neno hili, ila wale waliojaliwa.
12. Maana wako matowashi waliozaliwa hali hiyo toka matumboni mwa mama zao; tena wako matowashi waliofanywa na watu kuwa matowashi; tena wako matowashi waliojifanya kuwa matowashi kwa ajili ya ufalme wa mbinguni. Awezaye kulipokea neno hili, na alipokee.
 
Naona ushakuja na habari za kuokotezaokoreza, kama maandishi ya kitabu cha kushoto kwenda kulia.

John Allegro, Richard Carrier, au Kenneth Humphreys hao wote ni
Shida ya wavaa vilipuzi huwa hamunaga tabia ya kujiuliza ni watu wa mapokeo tu.

Ukiambiwa ingia mtoni alafu ukapiga vikombe kadhaa vya maji kisa utapata mabikira wewe unakubari tu.

Ukija na lugha za ku-copy na ku-past ndio utaonekana kuwa unajua mbele ya wavaa vikobazi wenzako, acha unyonge na utumwa kama wa kukalilishana maandishi ya kuanza kulia kwenda kushoto.

Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe (christianity) na hata shetani -Allah uwa anawatumia na kuwapandikiza wakristo feki ili kuhujumu ukristo wa kweli kwa kuwa kwenye islam - opotevuni huko shetani kesha wavuna hawezi ku-deal nako.

Achana na akina John Allegro, Richard Carrier, au Kenneth Humphreys ambae yeye anaamini Jesus Never Existed.

Sister njoo huku hakuna huko wenye macho ya goroli ilhali wanawake wao hawajahaidiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…