Kuna watu wana access na ujuzi na maarifa ambayo mtu akiyabobea anakuwa na uwezo wa kumchambua na kummenya binadamu kama karanga.
Ili kudhibiti binadamu juu ya uwezo wake, kwanza walimtenganisha na hayo maarifa kwa kuyaficha mahala (bottom secret)... huku Africa walitumaliza uwezo wetu kipindi cha ukoloni (jiulize kwanini waliwawinda machief licha ya kuwamudu bado waliondoka na viungo mafuvu why?
Pili wakacheza na ufahamu wa binadamu (deep psychology) kupitia dini na falsafa(idiology) mbalimbali.
Tatu wakatumia nguvu baada ya kukukata connection ya mwili wako na uwezo wako wa kiungu wakaona haitoshi wakaona huu mwili, mbavumbavu hizi zitatusumbua wakaunda mfumo wa serikali na vyombo vyake vya dola.
Huu ujinga unaukuta kwenye michezo na burudani, watazame watu walio jikitita kwenye mambo hayo,wamekuwa kama wendawazimu. Hawafikirii maisha nje ya michezo na burudani.
Kwenye dini utawakuta hao wapo nje ya Uislamu. Uislamu umehifadhiwa na yule aliyeuleta.
Hizi Stori za vijiweni.