Mimi ni mmojawapo wa wanaune wenye shoo mbovu na wala siogopi chochote. Bado najiamini sana

Mimi ni mmojawapo wa wanaune wenye shoo mbovu na wala siogopi chochote. Bado najiamini sana

Naanto Mushi

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
6,236
Reaction score
15,677
Huo ndo ukweli jamani ambao natamani kuusema... Nahisi mimi ntakuwa ni kati ya wale watanzania ambao tunashika mkia kwenye suala zima la kupiga show.

Niseme tu ukweli mimi ni mbovu sana, tena sanaa.. Sitaki kusema ni mbovu kiasi gani.. Ila nahisi ntakuwa nashika mkia.

Ila kizuri ni kwamba, pamoja na ubovu wangu, sijawahi kabisa kuwaza kwamba natakiwa nifanye improvement kwenye hili eneo... yaani najiona nipo perfect kabisa, kinyume na watu wengine ambao naona ni kama wanafanya uwekezaji mkubwa kwenye show..

Ila sasa ninachoshindwa kuelewa, nilitegemea ningekuwa napokea negative feedback kutoka kwa kambi ya upinzani, ila huwa sipati feedback yeyote baada ya uchaguzi... na kila ikitokea nimeitisha uchaguzi mwingine, basi vyama vya upinzani huwa wanaonesha mwitikio bila kutoa kasoro zozote za uchaguzi uliopita.

Sasa hii tabia ya hivi vyama vya upinzani kutokususia chaguzi, inanifanya na mimi niendelee kuamini demokrasia yangu ipo imara, ilhali mimi binafsi nikichunguza nchi jirani naona kabisa kuna mapengo kwenye demokrasia yangu.

Sasa sielewi.
1. Je? Vyama vya upinzani kwenye taifa langu ni vichanga, kwamba vinashindwa kubaini changamoto za kidemokrasia kwenye uchaguzi?

Ni hayo...

Elewa kwanza mada..hahahahaha
 
Kwani dah! Aah! Let me laugh for a while! 😂😂

Show mbovu ipoje haswa?

Wewe Naantombe Mushi acha kujifelesha hao wenyewe sikuizi hata hisia za penzi la kweli hawana at a same time anawaza ukimaliza kumweka vitu unamwacheje? Kwa hivyo ni wasiwasi wako mzee, Ipo hivi unahitaji kupata mwenza mwenye wivu na mapenzi alie na mihemuko ya kutosha hapo ndipo kipimo tosha cha wewe kijua unaweka vitu sawasawa kisha ufanye tumakusudi flani hivi mbele yake ya kuongea na simu ya manzi mwingine mbele yake then utaona respond zake kwako Je amekwazika au amechukulia Poa?
 
Huo ndo ukweli jamani ambao natamani kuusema... Nahisi mimi ntakuwa ni kati ya wale watanzania ambao tunashika mkia kwenye suala zima la kupiga show.

Niseme tu ukweli mimi ni mbovu sana, tena sanaa.. Sitaki kusema ni mbovu kiasi gani.. Ila nahisi ntakuwa nashika mkia.

Ila kizuri ni kwamba, pamoja na ubovu wangu, sijawahi kabisa kuwaza kwamba natakiwa nifanye improvement kwenye hili eneo... yaani najiona nipo perfect kabisa, kinyume na watu wengine ambao naona ni kama wanafanya uwekezaji mkubwa kwenye show..

Ila sasa ninachoshindwa kuelewa, nilitegemea ningekuwa napokea negative feedback kutoka kwa kambi ya upinzani, ila huwa sipati feedback yeyote baada ya uchaguzi... na kila ikitokea nimeitisha uchaguzi mwingine, basi vyama vya upinzani huwa wanaonesha mwitikio bila kutoa kasoro zozote za uchaguzi uliopita.

Sasa hii tabia ya hivi vyama vya upinzani kutokususia chaguzi, inanifanya na mimi niendelee kuamini demokrasia yangu ipo imara, ilhali mimi binafsi nikichunguza nchi jirani naona kabisa kuna mapengo kwenye demokrasia yangu.

Sasa sielewi.
1. Je? Vyama vya upinzani kwenye taifa langu ni vichanga, kwamba vinashindwa kubaini changamoto za kidemokrasia kwenye uchaguzi?

Ni hayo...

Elewa kwanza mada..hahahahaha
Faida ni kulamba asali, Uzi wangu wa Chama Cha Deka Kwa Mama (Chadema) umepigwa pin juu Kwa juu inshallah
 
Punguza fat mkuu, uko kwenye risk ya kulea mtoto wa bodaboda!

Nayeyuka kitahilatahila
Tatizo ni uvivu mkuu.. kuna kipindi unaweza kuta naenda gym wiki moja.. nakuwa fresh ila .. ila ku maintain gym ni shida sana ... ko tatizo haliishi...
 
Back
Top Bottom