Mimi ni Mnyamwezi , Na Wewe Je??


mimi siku sitaki hata kujitambulisha kama mnyamwezi. Aisee wanyamwezzi hatusaidiani kabisa. Kuna watu wa unyamwezini wapo kwenye system lakini
kutunyanyua shahe, nduhu gete. Wenzetu nshomile, wachaga na wanyakyusa wanabebana mno
 
usisafirie nyota ya mwenzio.

Ila kumbuka wanaosaidiwa huwa ni wale 'outstanding'

mimi siku sitaki hata kujitambulisha kama mnyamwezi. Aisee wanyamwezzi hatusaidiani kabisa. Kuna watu wa unyamwezini wapo kwenye system lakini
kutunyanyua shahe, nduhu gete. Wenzetu nshomile, wachaga na wanyakyusa wanabebana mno
 
mimi siku sitaki hata kujitambulisha kama mnyamwezi. Aisee wanyamwezzi hatusaidiani kabisa. Kuna watu wa unyamwezini wapo kwenye system lakini
kutunyanyua shahe, nduhu gete. Wenzetu nshomile, wachaga na wanyakyusa wanabebana mno

Usijali mkuu..

Mimi nitakupa msaada, na hauna masharti
 
halafu we unapenda mambo ya koni. Nikila yako ujue naimaliza sikuachii hata kidogo.
Wee swahiba hata sevaban haikutoshi....khaaaa!!

Kaka Boflo mie natoka SayuSayu mwaya eeh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…