Wabeba box wana Jf ni easy kuwajua, utawakuta online usiku hawalali...
Kina Nyani Ngabu na Wenzake
Mimi mrugwala from north Uganda and south sudan!
Wee Mwajuma mara hii ushamaliza kula koni yako?
Wana Jf, Ni jambo zuri sana endapo kila mwana Jf atajitambulisha kabila lake hapa jamvini.
Swali: Nini Faida ya kutaja kabila lako hapa?
Jibu : Faida zake ni nyingi sana, nitakutajieni chache...
1-Itatusaidia kujua hapa jamvini kabila gani linaongoza kuwa na wanachama wengi
2-Itatusaidi kujua kabila gani lina busara zaidi kutokana na post za mhusika
3-Itatusaidia kujua tabia na uhalisia wa makabila yaliyopo Jf
4-Itatusaidia kujua makabila ya wana Jf ambao ni wabeba box
5-Itatusaidia kujua makabila........................
halafu we unapenda mambo ya koni. Nikila yako ujue naimaliza sikuachii hata kidogo.
halafu we unapenda mambo ya koni. Nikila yako ujue naimaliza sikuachii hata kidogo.
Mchaga bana!
halafu we unapenda mambo ya koni. Nikila yako ujue naimaliza sikuachii hata kidogo.
mimi siku sitaki hata kujitambulisha kama mnyamwezi. Aisee wanyamwezzi hatusaidiani kabisa. Kuna watu wa unyamwezini wapo kwenye system lakini
kutunyanyua shahe, nduhu gete. Wenzetu nshomile, wachaga na wanyakyusa wanabebana mno
Hahahaha! Swahibaaaaaaaaaa!halafu we unapenda mambo ya koni. Nikila yako ujue naimaliza sikuachii hata kidogo.
Nimeona NN,Wapi Switiledi aje kuona hii.....heheheheheeeee Mwajuma bana.
mimi siku sitaki hata kujitambulisha kama mnyamwezi. Aisee wanyamwezzi hatusaidiani kabisa. Kuna watu wa unyamwezini wapo kwenye system lakini
kutunyanyua shahe, nduhu gete. Wenzetu nshomile, wachaga na wanyakyusa wanabebana mno
Wee swahiba hata sevaban haikutoshi....khaaaa!!halafu we unapenda mambo ya koni. Nikila yako ujue naimaliza sikuachii hata kidogo.
Usimkawize bht...Wee swahiba hata sevaban haikutoshi....khaaaa!!
Kaka Boflo mie natoka SayuSayu mwaya eeh!
mchaga wa wapiii???
Usijali mkuu..
Mimi nitakupa msaada, na hauna masharti
Mie na "Mamaa ya Boma" we are same tribe .
Jamhuri ya Ukukuwana ndiyo origin yetu .
mimi mgunya kutoka pemba