Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume

Ila watumiaji pombe wengi ndo wanaongoza kwa kundoa siku hizi sijui tufanyeje sasa hapo.
 
Mie zote ninazo, Tatizo ni hapo kwenye POMBE,..

Kila la kheri Mungu akujalie umpate asiyetumia Pombe..

Ingawaje ninaamini ukikuta mwanaume hanywi Pombe ujue hana akili..

Nimeoa.[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
mwanaume asiyekunywa pombe hana akili,,duuuu hatari hiii
 
Unatafuta alafu unaweka vigezo siungesubiri utafutwe ndio uweke vigezo utakuwa na gubu weye
 
Ukiona mtu amecomment negative kwenye hii post iliyonyoosha maelezo kabisa ujue ana stress za maisha.
Kila la heri mkuu wengi wamepata ndoa kupitia humu na tumeshuhudia
 
Mungu ni mwema, humpa kila amuombae
 
Niko hapa nitafte kama bado hujapata apolinarytheking gmail.com
 
unabagua dini!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…