Usimkatishe tamaa, wapo wengi waliofanikiwa kupitia mtandaoni, tena baadhi tunaowafahamu. Nimependa alivyojieleza, hakika anaweza kuwa mwanamke anayefaa. Hata hawa waliokwisha olewa wengi waliunganishwa na 'social networks' kama sherehe, kwenye ibada vyama, kazini na siku hizi fb, instagram, JF, na nyingi nyinginezo. Kila la kheri.Heee. Humu sijui kama utapata mume bora. Mitandaoni siyo mahala pakupata mume ILa kila la kheri
Nichek 0765147920,0715603068Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume ambae Mungu akipenda awe baba wa watoto. Kiukweli niko very serious nawish nimpate mtu mwenye mapenzi ya dhati na sio masihara.
Sifa zangu
Miaka 26, mfanyabiashara, elimu diploma,
Sifa zake
Dini...mkristo
Miaka...kuanzia miaka 29-35
Kari awe ameajiriwa au awe anajishughulisha na kazi halali inayomuingizia kipato.
Mwenye kujitambua.
Asivute sigara wala sio mtumiaji wa pombe.
Msafi, mtanashati,
Aliye seriously.
Sibagui kabila
Mwenye bandiko hajaongelea kuhusu suala la ukweli. Wewe angalia kama huna vigezo alivyoviweka utulie tuMm mwenyewe ni kijana wa miaka 29. Diploma holder ktk midwifery aspects. Ninatamani kuwa na binti ila naishiwa nguvu bcoz wengi hawapendi kuambiwa ukweli bali hupenda uongo. Mm c mvuta sigara, bangi wala pombe plus any restricted drugs since I was born. Upo tayar kuishi ktk ukweli
Ukipata uniambie..namimi natafutaMimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume ambae Mungu akipenda awe baba wa watoto. Kiukweli niko very serious nawish nimpate mtu mwenye mapenzi ya dhati na sio masihara.
Sifa zangu
Miaka 26, mfanyabiashara, elimu diploma,
Sifa zake
Dini...mkristo
Miaka...kuanzia miaka 29-35
Kari awe ameajiriwa au awe anajishughulisha na kazi halali inayomuingizia kipato.
Mwenye kujitambua.
Asivute sigara wala sio mtumiaji wa pombe.
Msafi, mtanashati,
Aliye seriously.
Sibagui kabila
Yna12 unataka kua yna14Ukipata uniambie..namimi natafuta
[emoji23][emoji23]Yna12 unataka kua yna14
Mie napita tuuu wee cheka[emoji23][emoji23]
Stay bana..mekumithMie napita tuuu wee cheka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nyenyenyeUngetaja miaka 60 kunajamaa anaitwa Le mubebez aka kinukta au kibamia... Tungekuunganisha nae
Mmhhhh kaujumbe kako kamenitikisa.Stay bana..mekumith
Kwani haujanimith????Mmhhhh kaujumbe kako kamenitikisa.
Nmekumith thanaaaaaaKwani haujanimith????
Haya lala sasaNmekumith thanaaaaaa
Kila la kheriMimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume ambae Mungu akipenda awe baba wa watoto. Kiukweli niko very serious nawish nimpate mtu mwenye mapenzi ya dhati na sio masihara.
Sifa zangu
Miaka 26, mfanyabiashara, elimu diploma,
Sifa zake
Dini...mkristo
Miaka...kuanzia miaka 29-35
Kari awe ameajiriwa au awe anajishughulisha na kazi halali inayomuingizia kipato.
Mwenye kujitambua.
Asivute sigara wala sio mtumiaji wa pombe.
Msafi, mtanashati,
Aliye seriously.
Sibagui kabila