Mimi ni mtoto wa mama, kula kulala, nina mika 40 na ninataka kuoa

Mimi ni mtoto wa mama, kula kulala, nina mika 40 na ninataka kuoa



Mzee unakwama wapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
@bujubuji ni taasisi, sio individual, funguka
 
EP PRO hongerakwa kuufufua uzi ule.
Jamaa alisema ananyanyaswa na beki3 wake.
Mara ooh kaoa
Ana watoto wa3
Leo anakaa kwa mama yake
 
wewe kikongwe achana na mambo ya kuoa tafuta mbesai kwanza
 


Mzee unakwama wapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀😀 ukiwa siriaz na mambo ya jf utapotea.......
 
Back
Top Bottom