Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
Unajua maana ya Minuz? Maana yake SIFURI sasa si vema kukashifiana humu ndani, mjibu kwa busara ili usiitwe sifuri.unashangilia ujinga wewe ni mazuzu yale aliyosema mwalimu,msukule wa ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua maana ya Minuz? Maana yake SIFURI sasa si vema kukashifiana humu ndani, mjibu kwa busara ili usiitwe sifuri.unashangilia ujinga wewe ni mazuzu yale aliyosema mwalimu,msukule wa ccm
unashangilia ujinga wewe ni mazuzu yale aliyosema mwalimu,msukule wa ccm
Unajua maana ya Minuz? Maana yake SIFURI sasa si vema kukashifiana humu ndani, mjibu kwa busara ili usiitwe sifuri.
asante kwa kurudi ningeshangaa uage hivi hivi kwa jinsi ulivyo mburura hayo matusi yakurudie mwenyewe,msukule unayetafutwa na ndugu zako! Waambie na hao misukule wenzako katiba inayopndekezwa haiepukiki tanzania.
Nimesikia Rais wetu Mhe Kikwete akisema akisema, serikali haitaanzisha Mahakama ya Kadhi na kwamba ni Jukumu la waislamu wenyewe kuianzisha na kuihudimia.
Waislamu tumekuwa tukiburuzwa na kugaragazwa katika mambo ya msingi hasa pale wenzetu wa dini nyingine wanapoweka ngumu.
Tuliomba sensa iwe na kipengele cha dini, tukashindwa baada ya usaliti wa BAKWATA. 2005 tulidanganywa ktk ilani ya CCM, tukawachagua. Lakini Hola.
Mchakato wa uundwaji wa Katiba mpya ulipoanza, tukaona ndipo pa kupatia Mahakama ya Kadhi. Rasimu ya Kwanza na ya pili, zikaja bila ya Mahakama ya kadhi.
Tulipokuja juu, Waziri Mkuu akaahidi Mswaada wa Mahakama ya Kadhi utapelekwa Bungeni februari. Kiini macho kikafanyika eti kupata ridhaa na muafaka na ndugu zetu wa upande wa pili.
Na katika Mchakato wa kuurudisha bungeni mswaada April hii, viongozi wa wenzetu wametia munda. Hawaitaki Mahakama ya Kadhi. Wamehamasisha waumini wao, wajiandikishe kwa wingi na muda ukifika, wapige kura ya HAPANA kwa Katiba Pendekezwa.
Serikali imeogopa nguvu ya wenzetu wakristo. Imesema HAPANA kwa Mahakama ya kadhi, licha ya Tafiti nyingi kuonesha, Mahakama ya kadhi haina madhara (Waziri Mkuu, Waziri wa Sheria na Mwanasheria Mkuu) waliuthibitishia Umma.
Kutokana na kudharauliwa na kupuuzwa kunakofanywa na serikali mara kwa mara dhidi ya waislamu na Uislamu, binafsi nitapiga kura ya HAPANA KWA KATIBA PENDEKEZWA.
Ewe Muislamu na ndugu zangu wa dini nyingine, tuungane tupige kura ya HAPANA kwa katiba pendekezwa
Nimesikia Rais wetu Mhe Kikwete akisema akisema, serikali haitaanzisha Mahakama ya Kadhi na kwamba ni Jukumu la waislamu wenyewe kuianzisha na kuihudimia.
Waislamu tumekuwa tukiburuzwa na kugaragazwa katika mambo ya msingi hasa pale wenzetu wa dini nyingine wanapoweka ngumu.
Tuliomba sensa iwe na kipengele cha dini, tukashindwa baada ya usaliti wa BAKWATA. 2005 tulidanganywa ktk ilani ya CCM, tukawachagua. Lakini Hola.
Mchakato wa uundwaji wa Katiba mpya ulipoanza, tukaona ndipo pa kupatia Mahakama ya Kadhi. Rasimu ya Kwanza na ya pili, zikaja bila ya Mahakama ya kadhi.
Tulipokuja juu, Waziri Mkuu akaahidi Mswaada wa Mahakama ya Kadhi utapelekwa Bungeni februari. Kiini macho kikafanyika eti kupata ridhaa na muafaka na ndugu zetu wa upande wa pili.
Na katika Mchakato wa kuurudisha bungeni mswaada April hii, viongozi wa wenzetu wametia munda. Hawaitaki Mahakama ya Kadhi. Wamehamasisha waumini wao, wajiandikishe kwa wingi na muda ukifika, wapige kura ya HAPANA kwa Katiba Pendekezwa.
Serikali imeogopa nguvu ya wenzetu wakristo. Imesema HAPANA kwa Mahakama ya kadhi, licha ya Tafiti nyingi kuonesha, Mahakama ya kadhi haina madhara (Waziri Mkuu, Waziri wa Sheria na Mwanasheria Mkuu) waliuthibitishia Umma.
Kutokana na kudharauliwa na kupuuzwa kunakofanywa na serikali mara kwa mara dhidi ya waislamu na Uislamu, binafsi nitapiga kura ya HAPANA KWA KATIBA PENDEKEZWA.
Ewe Muislamu na ndugu zangu wa dini nyingine, tuungane tupige kura ya HAPANA kwa katiba pendekezwa
Mmmh!!
Na wapemba wamepewa nini huko dodoma ? Wameshindwa hata kuitetea nchi yao? Bora wangetetea mahakama ya kadhi angalau wapate cha kujivunia[/QUOTE
SOMA IBARA YA 41 KWENYE KATIBA PENDEKEZWA UHURU WA IMANI YA DINI, CLEARLY INAWEKA SERIKALI HAS NO PART TO RELIGIOUS INSTITUTIONS.
Waislam sio wapuuzi kama unavyofikiria katiba pendekezwa ni nzuri tutaipa kura ya ndio na itawashangaza wengi ktk hili kuliko mnavyofikiri[/QUOT
QUOTE=Saint Ivuga;10715211]Na wapemba wamepewa nini huko dodoma ? Wameshindwa hata kuitetea nchi yao? Bora wangetetea mahakama ya kadhi angalau wapate cha kujivunia[/QUOTE
Ikugi safi Wakasome IBARA YA 41 KWENYE KATIBA PENDEKEZWA UHURU WA IMANI YA DINI, CLEARLY INAWEKA WAZI SERIKALI HAS NO PART TO RELIGIOUS INSTITUTIONS.
mnajifariji na kupima upepo,haitapita hivyo mtalazimisha hapo ndio itakua mwisho wa ccm[/QUOT
Unajifariji tu hiyo itapita ndugu Tanzania forever!
wewe ndio sifuri soma tena hilo jina tartiibu,uone usifuli wako
Hapana mpaka nipate kadhia
Wewe utabaki kuwa "0"wewe ndio sifuri soma tena hilo jina tartiibu,uone usifuli wako
Hatuwezi kubishana na mtu ambaye akili yake imetobolewa na mdudu chonga.mnajifariji na kupima upepo,haitapita hivyo mtalazimisha hapo ndio itakua mwisho wa ccm
Pole mtanzania wewe uliokuwa mvivu kusoma katiba inayopendekezwa, unaonekana hiyo ndo tabia yako ya kutopenda kusoma, sasa kam ungekuwa umeisoma hiyo katiba usinge lazimisha mahakama ya kadhi kwanza naamini kabisa hiyo kadhi yenyewe huijui, na pili katika katiba hii hakuna mahala popote ilipoandikwa, kwa ushahidi zaidi kasome ile Ibara ya 41 juu ya uhuru wa mambo ya dini ndo utajua haya nayokwambia.Hapana mpaka nipate kadhia