Mimi ni Muislamu. Nasema HAPANA kwa katiba pendekezwa

Mimi ni Muislamu. Nasema HAPANA kwa katiba pendekezwa

Mbona Kikwete kasema ni ruksa kwa Waislamu kuanzisha na kughalimia mahakama ya Kadhi!!! Hivyo ndivyo nilivyomwelewa mimi..
Kwa hiyo kama mahakama ya Kadhi ingeanzishwa ungeipa katiba pendekezwa ya Chenge kura ya NDIO pamoja na ubovu wote huo???

Mnaosema katiba hii ni ya chenge mbon mnachekesha......wale wajumbe waliokuwa mule bungeni whom were they representing....kingine.....UKAWA ndio wamewalisha haya matapishi baada ya kushindwa kupitisha serikali 3 ambazo ziliingizwa kinyemela kwenye rasimu ya warioba.....wakati hayakuwa mapendekezo ya wengi....mbn hamjiuliz kwann waliingiza hii kitu...
 
11034167_407042619463466_83378551_n.jpg

1427713819149.jpg

1427713837600.jpg

1427713862285.jpg

1427713901056.jpg
 
Mie pia nasema hapana,mpaka tupate kadhi kwanza.

Ha ha ha ha TAmuuuuuuuuu, Kadhi utaipata siku ya kiama!!! Au ahela Tanzania hawaijui ndio maana walitoa maoni mengi kwenye ibara ya 41 nchi yao isiendeshwe kwa misingi ya dini wala kujihusiosha na shughuli za dini ha ha ha ha ha .
 
Ha ha ha ha TAmuuuuuuuuu, Kadhi utaipata siku ya kiama!!! Au ahela Tanzania hawaijui ndio maana walitoa maoni mengi kwenye ibara ya 41 nchi yao isiendeshwe kwa misingi ya dini wala kujihusiosha na shughuli za dini ha ha ha ha ha .

Watu wengine wanapenda mabishano yasiyo na msingi bora uwaamnie ukweli wa mambo yenyewe.
 
Mnaosema katiba hii ni ya chenge mbon mnachekesha......wale wajumbe waliokuwa mule bungeni whom were they representing....kingine.....UKAWA ndio wamewalisha haya matapishi baada ya kushindwa kupitisha serikali 3 ambazo ziliingizwa kinyemela kwenye rasimu ya warioba.....wakati hayakuwa mapendekezo ya wengi....mbn hamjiuliz kwann waliingiza hii kitu...


Ha ha ha ha ha uwiii Maramla umetisha babaake kumbe waliingiza kinyemela serikali 3 kwenye rasimu yao kinyume na maoni ya wengi wakashtukiwa na uroho wao wa madaraka eti wanataka rais wa Unguja, Pemba na Tanganyika ha ha ha vichwa maji nyie mnatumwa!
 


hii ndio nini wewe kahtaan na ishmael mnashindwa kutoa hoja hapa mnaanza kutuletea mapichapicha aaaa acheni kupoteza muda.

Kwa mtu ambae amekimbia umande hizo kweli ni picha lkn km ulienda shule humo ndani ya hizo picha kuna ujumbe mzito sana
 
Kwa mtu ambae amekimbia umande hizo kweli ni picha lkn km ulienda shule humo ndani ya hizo picha kuna ujumbe mzito sana

Kuweka weka mapicha nako wala hakuna maana ndugu yangu, weka hoja zenye kuijali nchi yetu kwa manufaa ya wengi na usipinge kitu ambacho unajua kabisa kina ukweli uliokithiri, kwani kwa kufanya hivyo utakuwa unatenda dhambi.
 
Unashabikia ujinga wewe acha hizo kalale bhana.

kwan kuna ulazima ww na yy mawazo yafanane?? afu kitu kingine mtu mzima hua anatafakari anachotaka kukiandika kama kinafaa sio ucrash na kuchangia kila alichopost mtu eti kwa sababu tu kipo tofauti na hisia zako!! umu hatuendi kwa jazba,mapenzi binafsi,povu au hisia.
namaliza iviii......
HAPANA KWA KATIBA PENDEKEZWA
 
kwan kuna ulazima ww na yy mawazo yafanane?? afu kitu kingine mtu mzima hua anatafakari anachotaka kukiandika kama kinafaa sio ucrash na kuchangia kila alichopost mtu eti kwa sababu tu kipo tofauti na hisia zako!! umu hatuendi kwa jazba,mapenzi binafsi,povu au hisia.
namaliza iviii......
HAPANA KWA KATIBA PENDEKEZWA

Mwanzoni umeanza kwa maneno mazuri lakini mwishoni umeharibu kwa kuanza kutangaza kura yako ambayo wala haitakuwa na effect kwa Katiba hii, sasa hapa hatuhitaji kujua kwamba wewe utapiga kura ya aina gani, hiyo iwe siri yako daima na kwa watu wote humu ndani.
 
mzalendo wa kweli hawezi kuacha kupiga kura ya ndiyooo,acha uongo wako hatukuelewi

jibu ili apa kutoka kwa ndugu yako...
kiherere na kurukia mambo sio kuzuri uwe unapitia post za wenye hekima kbl hujatokwa na povu
Elewa kuwa suala la kura ni suala la siri ya mtu unapokuja na hoja ya kutangaza hiyo kura yako humu unaonekana kwanza mshamba na pili unaonekana umetimiza umri wa miaka 18 hivi majuzi.
 
kwa staili hii ya kupinga mambo kwa misingi ya kidini na kinasaba hatutafika mbali
 
kwa mtu ambae amekimbia umande hizo kweli ni picha lkn km ulienda shule humo ndani ya hizo picha kuna ujumbe mzito sana

ujumbe mzito unauelewa mwenyewe mbugila kazi kushabikia udini huna maana hiyo mi picha na misanamu si unaijua mwenyewe inamanisha nini? Jenga hoja nyingine huwezi kumfananisha mungu na mipichapicha yako hiyo ya kuungaunga, siwapendi watu sampuli yako wanaoleta udini humu.
 
jibu ili apa kutoka kwa ndugu yako...
Kiherere na kurukia mambo sio kuzuri uwe unapitia post za wenye hekima kbl hujatokwa na povu


hewzet na jina lako la kichawi hata sikuelewi humu unatafuta nini, wewe ndio unarukia mada unacopy na kupaste majibu ya watu kuomba msaada ha ha ha ha chenga kweli wewe,

asante kwa kunisoma we mbwiga mie nimetangaza msimamo wa kura ya ndiyo sio wewe mwenye mawazo ya chura kutafuta kumbikumbi kwenye mwanga wa taa, na huo ndio uwezo wako wa kufikiri, mie ntapiga kura ya ndiyooo.
 
:ballchain:
kwa staili hii ya kupinga mambo kwa misingi ya kidini na kinasaba hatutafika

mbali


ALOYCE TUTAFIKA TU TATIZO HUMU NI BAADHI YA WATU KUSHABIKIA MASUALA YA UDINI, WAPO WANAOTAMANI KULIONA TAIFA HILI LINAKUA NA DINI MOJA HILI HALIWEZEKANI? Tuendelee kuheshimiana na ndio maana ibara ya 41 inafafanua vizuri masuala ya imani na dini mtu akiielewa hiyo kama hakutumwa hawezi kufanya fujo.
 
huna fact unadandia tu ngoja nkuache claudiaeliakimu


Ha ha ha ha nilijua tu huwezi kusimama na mimi!kapumzike na next time ukiniona claudia nimo humu jipange sawawa mwenzio nimeisoma katiba nimeielewa nasubiri kuisapoti!:closed_2::closed_2::closed_2::closed_2: Tukutane next time ila usije kwa kuropoka.
 
kwan kuna ulazima ww na yy mawazo yafanane?? afu kitu kingine mtu mzima hua anatafakari anachotaka kukiandika kama kinafaa sio ucrash na kuchangia kila alichopost mtu eti kwa sababu tu kipo tofauti na hisia zako!! umu hatuendi kwa jazba,mapenzi binafsi,povu au hisia.
namaliza iviii......
HAPANA KWA KATIBA PENDEKEZWA[/QUOTE


Wewe ndio unatoka povu haya ndiyo majibu gani ha ha ha ha ha cheki mwisho umemaliziaje ngoja na mimi nikuage ndugu, SEMA NDIYO KWA KATIBA PENDEKEZWA.
 
Ha ha ha ha nilijua tu huwezi kusimama na mimi!kapumzike na next time ukiniona claudia nimo humu jipange sawawa mwenzio nimeisoma katiba nimeielewa nasubiri kuisapoti!:closed_2::closed_2::closed_2::closed_2: Tukutane next time ila usije kwa kuropoka.

unashangilia ujinga wewe ni mazuzu yale aliyosema mwalimu,msukule wa ccm
 
Back
Top Bottom