Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,360
- 2,269
Anachomoka soon tu yaani, mapeeeema anaondokaJikaze tu, mama tunaye sana panapo uhai. Tutampa tena na tena.
Miaka yote mliyotuongoza wanaume mmefanya maajabu gani?
Wewe hebu lipe neno demu heshima tafadhali. Yule sio demu ni bibinchi inaendeshwa kimamiloo sana.
Taliban wakisikia rais wetu ni demu watatuona makenge sana.
Sasa,Unguja ni mtaa au mkoa?😝😝😝😝😝Sisi wanaccm wooote mkoa wa Unguja Magharibi tutampa kura zetu zooooote mh Dr Freeman Mbowe awe Rais wa Tanzania mwaka 2025, watake wasitake Mbowe lazima awe Rais.
Wewe kasome nini alifanya golder meir,indira gandhi na angela merkerHabarini za leo ndugu zangu, nimetafakari sana na katika pitapita zangu kwenye maktaba mbalimbali nimejiridhisha bila shaka kuwa nafasi za uongozi wa juu ni lazima zishikwe na mwanaume ili mambo yaende.
Na hakuna ushahidi duniani wa nchi yoyote iliyowahi kufanya revolution yoyote ya maana chini ya kiongozi mwanamke, haipo narudia haipo,ndoja nirudie kwa herufi kubwa HAIPO.
Simaanishi kuwa wanawake wasiongoze, ila wanaweza kupewa nafasi Kama za ukuu wa shule kwenye shule za wasichana, uongozi wa wizara kama wizara ya afya, jinsia, wanawake, wazee na watoto nk.
Mimi naamini tunapaswa kupata rais mwanaume 2025 na makamo wake awe mwanaume.
"MWANA MUME NI MCHUNGA ..." Yaweza kuwa kazi aliyowapa BWANA MUNGU WENU IMEWASHINDA.!!!!!!!!! Hivyo mtulie sindano iwangiiieee taratibuGwajima wa JF uko sahihi. Hongera kwa ujasiri wa mada hii. Wala huhitaji kujieleza, kujitetea maana hoja yako ni kweli. Na ukweli ni mchungu tena unauma.
Mamlaka zote, au uongozi hutoka kwa Mungu aliye juu. Na yeye ameweka wazi katika Biblia (ile wanayotumia kuapa hao viongozi): KAZI YA KUONGOZA NI MWANAUME
Katika habari za watu wangu, watoto ndio wanaowaonea, na wanawake ndio wanaowatawala. Enyi watu wangu, wakuongozao wakukosesha, waiharibu njia ya mapito yako.
Isa 3:12 SUV
Isa 3:12 Katika habari za watu wangu, watoto ndio wanaowaonea, na wanawake ndio wanaowatawala. Enyi watu wangu, wakuongozao wakukosesha, waiharibu njia ya mapito yako. | Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV) | Download The Bible App Now
Katika habari za watu wangu, watoto ndio wanaowaonea, na wanawake ndio wanaowatawala. Enyi watu wangu, wakuongozao wakukosesha, waiharibu njia ya mapito yako.bible.com
Hata wanawake walio bungeni huko ni wachache sana, hawachaguliki. Huku tunaaminishwa kwenye upuuzi wa 50/50!The bitter truth ni kwamba Marekani japo ni waumini wa gender equality ila kile kiti cha urais ni ngumu sana kwa mwanamke kukikalia kile kiti
Labda unge define “Revolution ya maana” ili tuanzie hapo. Maana naona umejifungia kwenye kiroba na umejiandaa ili kila mfano utakaopewa useme hiyo sio”revolution ya maana”Habarini za leo ndugu zangu, nimetafakari sana na katika pitapita zangu kwenye maktaba mbalimbali nimejiridhisha bila shaka kuwa nafasi za uongozi wa juu ni lazima zishikwe na mwanaume ili mambo yaende.
Na hakuna ushahidi duniani wa nchi yoyote iliyowahi kufanya revolution yoyote ya maana chini ya kiongozi mwanamke, haipo narudia haipo,ndoja nirudie kwa herufi kubwa HAIPO.
Simaanishi kuwa wanawake wasiongoze, ila wanaweza kupewa nafasi Kama za ukuu wa shule kwenye shule za wasichana, uongozi wa wizara kama wizara ya afya, jinsia, wanawake, wazee na watoto nk.
Mimi naamini tunapaswa kupata rais mwanaume 2025 na makamo wake awe mwanaume.
Wewe ni mme wa bibi Samia?Wazo zuri sana ila hao viongozi wanaume wasiwe wamezaliwa na wanawake, maana wakiwa wamezaliwa na wanawake pia wataambukizwa udhaifu wa kike.
Cha msingi kuanza kuwaandaa wanaume ngangari ili waweze kuwekewa ujauzito ili watoe pyua breed , yaani mbegu dume bora bila unajisi wa wanawake.
What a pathetic excuse for a man you are!
Uko sawa kabisa kiongoziEti mwenyekiti wa sisiemu ni wamtu... True ndio anaamua mwelekeo wa chama!!
shetani mwenyewe hupenda kupitia kwa wanawake anaamini nirahisi kuwahadaa!!
ndomana wanawake huanguka mapepo Sana wakati wanaume hata jambazi,bakaji ningumu kuombewa likapandisha mapepo.
siafiki kiongozi wa juu kuwa mwanamke... Sitaki hata kusikia
Naona elements za ushoga ndani yakoWazo zuri sana ila hao viongozi wanaume wasiwe wamezaliwa na wanawake, maana wakiwa wamezaliwa na wanawake pia wataambukizwa udhaifu wa kike.
Cha msingi kuanza kuwaandaa wanaume ngangari ili waweze kuwekewa ujauzito ili watoe pyua breed , yaani mbegu dume bora bila unajisi wa wanawake.
What a pathetic excuse for a man you are!
Yaa mnyaazi hakuwahi kuweka mwanamke kuwa mfalme, labda kwenye karama nyingine.....lakini siyo kuwa mfalme wa taifa. Fuatilia historia ya wafalme wa Isreali kama utakutana na jina la mwanamke.........laana nyingine tunajitakia.Kuweka mwanamke pale Ikulu naamini tumemuudhi sana Mnyaazi, lazima tulipie kwa mapigo makali.
Habarini za leo ndugu zangu, nimetafakari sana na katika pitapita zangu kwenye maktaba mbalimbali nimejiridhisha bila shaka kuwa nafasi za uongozi wa juu ni lazima zishikwe na mwanaume ili mambo yaende.
Na hakuna ushahidi duniani wa nchi yoyote iliyowahi kufanya revolution yoyote ya maana chini ya kiongozi mwanamke, haipo narudia haipo,ndoja nirudie kwa herufi kubwa HAIPO.
Simaanishi kuwa wanawake wasiongoze, ila wanaweza kupewa nafasi Kama za ukuu wa shule kwenye shule za wasichana, uongozi wa wizara kama wizara ya afya, jinsia, wanawake, wazee na watoto nk.
Mimi naamini tunapaswa kupata rais mwanaume 2025 na makamo wake awe mwanaume.
Acha weeee! natamani nije hapo kwako nione unavyomwongoza mzee baba....Kinachoongoza nchi ni uwezo wa kiongozi kiakili na fikra, busara na hekma sio uke wala uume
Mwafirika pekee ni Cleopatra, na hiyo ni miaka 5,000 iliyopita! Ungesema Winnie Mandela!1. Cleopatra VII (Leader of Egypt)
2. Wu Zetian (Leader of China)
3. Joan of Arc (Leader of France)
4. Catherine II (Leader of Russia)
5. Queen Victoria (Leader of England)
6. Eva Perón (Leader in Argentina)
7. Rosa Parks (Leader in United States)
8. Indira Gandhi (Leader of India)
9. Margaret Thatcher (Leader of Britain)
10. Angela Merkel (Leader of Germany)
Acha weeee! natamani nije hapo kwako nione unavyomwongoza mzee baba....
Hao sio famous locally bali worldwide..., na kama ni kipindi hicho cha mfumo Dume wa kweli hao waliweza kuwa viongozi ije kuwa leo ambapo watu wanapewa uongozi sio sababu ya uwezo wao bali kujaza nafasi za kijinsia....Mwafirika pekee ni Cleopatra, na hiyo ni miaka 5,000 iliyopita! Ungesema Winnie Mandela!