Mimi ni mwajiriwa mpya, ninahitaji mkopo

Mimi ni mwajiriwa mpya, ninahitaji mkopo

Mkuu mbona umeongea point mbofumbofu sana leo? Huwa nakuaminia sana lkn leo umeniangusha. Kukopa kupo, hata akina mo wanakopa. Cha msingi mshauli mtu namna ya kuutumia mkopo.
Sio kila mtu ana mali ambazo anaweza kuuza akapata hela nzuri.
Hujawahi miliki 1m au Hata kumiliki Asset yenye thamani ya 1m hujawahi

unataka kukopa 3m hiyo pesa utailipa lipaje? siwezi shauri mtu akope wala

shauri mtu namna ya kutumia mkopo,MO anakopa ila anakopa pesa ambayo

hata leo waseme tupe hela yetu anaweza rudisha pesa ya watu,Usikope kwa

kuangalia unataka kufanyia nini hiyo hela, kopa kwa kujiuliza Je! nina uwezo wa

kurudisha hii pesa ya watu incase things goes viceversa?! ukikopa kwa kutegemea

unachotaka kukifanyia baada ya kukopa ndio kirudshe mkopo Umepotea/umeumia.

Mikopo ni ya Matajiri TU wenye Stable income not otherwise, Tuna ambiana ukweli hapa.
 
Hujawahi miliki 1m au Hata kumiliki Asset yenye thamani ya 1m hujawahi

unataka kukopa 3m hiyo pesa utailipa lipaje? siwezi shauri mtu akope wala

shauri mtu namna ya kutumia mkopo,MO anakopa ila anakopa pesa ambayo

hata leo waseme tupe hela yetu anaweza rudisha pesa ya watu,Usikope kwa

kuangalia unataka kufanyia nini hiyo hela, kopa kwa kujiuliza Je! nina uwezo wa

kurudisha hii pesa ya watu incase things goes viceversa?! ukikopa kwa kutegemea

unachotaka kukifanyia baada ya kukopa ndio kirudshe mkopo Umepotea/umeumia.

Mikopo ni ya Matajiri TU wenye Stable income not otherwise, Tuna ambiana ukweli hapa.
Yeye si kasema ni mtumishi that means ana mshahara si ndio? Akikopa mkopo ambao atajenga kijumba chake cha room mbili na awe anakatwa lak 2 kila mwezi, ili aachane na kodi ya nyumba ya lak 2 kwa mwezi kuna ubaya?
 
Yeye si kasema ni mtumishi that means ana mshahara si ndio? Akikopa mkopo ambao atajenga kijumba chake cha room mbili na awe anakatwa lak 2 kila mwezi, ili aachane na kodi ya nyumba ya lak 2 kwa mwezi kuna ubaya?
Alikwambia kuwa anakopa ili ajenge? kwanini unamsemea? umsemaa nimeandika pumba

kwasababu nimekataza mtu kukopa wakati kina MO wanakopa,kwahyo unataka mfananisha

mtoa mada na MO? unataka mtu ashauriwe namna yakutumia mkopo ambao hujui kakopa kiasi gani?

Pia mtoa mada hajaomba ushauri kuhusu matumizi ya mkopo wake,anachohtaji yeye ni mkopo ndio mana kila mtu anashauri lake kuhusu hiyo mikopo.
 
Alikwambia kuwa anakopa ili ajenge? kwanini unamsemea? umsemaa nimeandika pumba

kwasababu nimekataza mtu kukopa wakati kina MO wanakopa,kwahyo unataka mfananisha

mtoa mada na MO? unataka mtu ashauriwe namna yakutumia mkopo ambao hujui kakopa kiasi gani?

Pia mtoa mada hajaomba ushauri kuhusu matumizi ya mkopo wake,anachohtaji yeye ni mkopo ndio mana kila mtu anashauri lake kuhusu hiyo mikopo.
Hajasema anataka kufanyia nini huo mkopo, huo ni mfano tu nilioutoa mimi. Lakini nilichokushangaa unamkataza mtu kukopa wkt watu wengi tu wanakopa na wanatoboa. Nadhani badala ya kumkataza asikope no bora ukamshauri namna nzuri ya kutumia mkopo.
 
Uongo kunogesha genge, NMB hakuna mkopo mkubwa hivo kama hujathibitishwa kazini
Wewe jamaa unaweza kubishqna na picha kabisa.

Sasa nidanganye, Kuna mashindano ya kudanganya humu watu wanapwa pesa au ???

In short, jamaa mimi ndio nimemtengezea Account ya salary slip portal na kumprintia kwasababu alifikia kwangu wakati anafuatilia huo mkopo kwasababu wakati huo shule zilikuwa zimefungwa.

Slip yake hiyo Happ 👇👇👇👇

Screenshot_2022-02-13-15-53-19-507_pdfreader.pdfviewer.officetool.pdfscanner.png
 
Ogopa sana mikopo ya benki
Save upate mtaji hata kama ni milioni 2 baadaye unaweza kukopa kukuza mtaji
 
Hapana. Nimebahatika tu kuwa na experience na haya Mambo.

Unajua kwenye Maisha, huwezi kutegemea ufanye makosa halafu ndio ujifunze.

Akili Ni kujifunza Kutokana na makosa ya wengine.
Trump aliwahi kusema hili..
 
Walimu wanna matatizo sana. Yaani sijui wametupiwa jini, hata sielewi.

Juzi hapa nilikuwa na mwalimu fulani, amekopa 8.5M NMB kwenda kununua gari.

Gari lenyewe hajanunua na pesa sijui kapeleka wapi. Mwenyewe anadai ana biashara, lakini muda wote kafulia.

Juzi tu hapa, nimemkuta tena anataka kukopa CRDB kwa kile kiasi kilichobaki.

Kumbuka ,huyu mwalimu hata kuthibitishwa kazini bado, na hata Bodi ya Mikopo hawajaanza kumkata.

Ina maana kwa kiasi cha pesa anachpata sasa hivi, akikikopea CRDB na Loan Board wakianza kumkata atakiwa hapati mshahara [emoji3]

Na kama atapata, basi itakuwa labdaTsh 50,000
N wakike au wakiume???
 
Nakupa ushauri

Umeajiriwa una muda gani? Angalia Saccos yenye sifa nzuri katika eneo ulilopo, Kisha jiunge huko (hakikisha ni Saccos nzuri yenye sifa zote za kifedha) riba zao huwa ni nafuu sana na hutojutia.

Banks nyingi bado Wana riba kubwa unaweza kopa mil.5 na ukalipa milion 8/9 huko.
Ni ajira za mama Samia za mwakajana kada ya ualimu
 
Mkuu unakopa iliiweje. Ishi kulingana na kipato chako. Jikaze ufanye savings, uwe na subra. Usitumie pesa ambayo hujai-earn
Changamoto za maisha ndugu.Familia zetu za kimasikini Kila kitu kinakuangalia wewe.
 
Lakini kuhusu kukopa mbona wafanyakazi wote wa serikali wanakopa ?, hapa nawaona manurse ,bibi afya,kilimo na mifugo ,watendaji wa kata na mitaa,madktari,na wengne wote naona wote wanakopa .Sasa nashangaa unavyosema walimu wana IQ ndogo kisa wanakopa.
Kukopa sio dhambi,hata serikali inakopa.
 
Ndugu wanajamvi, natumaini mu wazima katika harakati za hapa na pale za kusaka mkate.

MIMI ni muajiriwa mpya kada ya ualimu msingi. Naombeni kusaidiwa abc kuhusu ni vipi nitapata MKOPO wa kifedha na ni wapi wanatoa kwa riba nafuu. Pia ni nyaraka zipi zinaitajika kupata MKOPO huo, maana sijapata barua ya kuthibitishwa kazini.

Asanteni na pia majibu yenu ni muhimu.
Rafiki,
Ningejua ni nini unataka kuufanyia huo mkopo unaotaka kuukopa ningekushauri ukope, ila bado hujafafanua vema matumizi ya huo mkopo.

Maoni yangu,...

Kwa kuwa hata mwaka haujamaliza kazini nakushauri usikope kabisa, badala yake tafuta watu au nenda bank jicomit kabisa kuwa waanze kukukata taratibu hata kama ni elfu hamsini-hamsini ili kwa baadae uje uipate hiyo fedha unayoihitaji.

Ila kama kuna ulazima sana-sana wa kukopa ni heri uende sehemu zingine ambazo hata ikikwama unaweza ukazungumza nao na wakakuelewa hata kama kwa mwezi mmoja ukaacha kulejesha.

Ila narudia, kama hakuna ulazima wa kukopa acha kabisa usikope, kwani utakuwa mtumwa wa kazi yako na pia wa huyo aliyekukopesha.

Ninatanguliza shukrani,

Mwl Deus M.Ndololo
 
Rafiki,
Ningejua ni nini unataka kuufanyia huo mkopo unaotaka kuukopa ningekushauri ukope, ila bado hujafafanua vema matumizi ya huo mkopo.

Maoni yangu,...

Kwa kuwa hata mwaka haujamaliza kazini nakushauri usikope kabisa, badala yake tafuta watu au nenda bank jicomit kabisa kuwa waanze kukukata taratibu hata kama ni elfu hamsini-hamsini ili kwa baadae uje uipate hiyo fedha unayoihitaji.

Ila kama kuna ulazima sana-sana wa kukopa ni heri uende sehemu zingine ambazo hata ikikwama unaweza ukazungumza nao na wakakuelewa hata kama kwa mwezi mmoja ukaacha kulejesha.

Ila narudia, kama hakuna ulazima wa kukopa acha kabisa usikope, kwani utakuwa mtumwa wa kazi yako na pia wa huyo aliyekukopesha.

Ninatanguliza shukrani,

Mwl Deus M.Ndololo
Teacher mwenzangu nashukuru kwa ushauri wako,ngoja nichekekeche.
 
Jaribu NMB.

Hawa naona wanatoa mikopo kwa Watumishi wa serikali hata wale ambao bado hawajathibitishwa kazini.

Muhimu uwe na barua ya uteuzi ( letter of appointment ), kitambulisho cha kazi ( kama huna inabidi uende kwa Afisa Utumishi akuandikie barua ya utambulisho ) pamoja na salary slip zako za miezi mitatu nyuma.

ONYO:

Epuka kukopa kwenye vitaasisi. Narudia KOPA BANK tu.
Bank inaweza kukukopesha bila kuwa na barua ya kuthibitishwa kazini?
 
Jaribu NMB.

Hawa naona wanatoa mikopo kwa Watumishi wa serikali hata wale ambao bado hawajathibitishwa kazini.

Muhimu uwe na barua ya uteuzi ( letter of appointment ), kitambulisho cha kazi ( kama huna inabidi uende kwa Afisa Utumishi akuandikie barua ya utambulisho ) pamoja na salary slip zako za miezi mitatu nyuma.

ONYO:

Epuka kukopa kwenye vitaasisi. Narudia KOPA BANK tu.
Ahsante boss Mwenyewe nina shida hiyo nimeajaliwa 06/07/2021 Nahitaji kukopa
 
Back
Top Bottom