Mimi ni mwajiriwa mpya, ninahitaji mkopo

Mimi ni mwajiriwa mpya, ninahitaji mkopo

Walimu wanna matatizo sana. Yaani sijui wametupiwa jini, hata sielewi.

Juzi hapa nilikuwa na mwalimu fulani, amekopa 8.5M NMB kwenda kununua gari.

Gari lenyewe hajanunua na pesa sijui kapeleka wapi. Mwenyewe anadai ana biashara, lakini muda wote kafulia.

Juzi tu hapa, nimemkuta tena anataka kukopa CRDB kwa kile kiasi kilichobaki.

Kumbuka ,huyu mwalimu hata kuthibitishwa kazini bado, na hata Bodi ya Mikopo hawajaanza kumkata.

Ina maana kwa kiasi cha pesa anachpata sasa hivi, akikikopea CRDB na Loan Board wakianza kumkata atakiwa hapati mshahara [emoji3]

Na kama atapata, basi itakuwa labdaTsh 50,000
Walimu wana QI ndogo sana...wananuka mikopo..bado chama chao kina walamba hela kila siku.

#MaendeleoHayanaChama
 
Zipo Saccos nzuri na nyingine za kiboya tu.

Pili , Saccos siyo taasisi ambazo unaweza kuamka tu ukaenda kuchukua mkopo.

I'll ukopesheke SACCOS inabidi kwanza ujiunge uwe Mwanachama.

Halafu uweke akiba, then kupitia hiyo akiba ndio utakopesheka pesa Mara tatu ya hiyo akiba yako.

Vile vile, mikopo ya SACCOS inahitaji uwe na mdhamini ( Mwanachama mwenzio wa SACCOS ) tena Saccos nyingi huwa zinahitaji uwe na Mali isiyohamishika.

Kwahiyo, unaweza kuona kukopa Saccos siyo kitu cha kuamka asubuhi tu na kukopa.
Igwee igwee igwee hapo umemaliza mkuu
 
Nilikopa nikaweka hela kwenye mchanga/ujenzi ukaishia boma tu tofauti na matarajio. Huku nakatwa mkopo huku kodi ya nyumba inaendelea huku magufuli kaongeza makato bodi ya mkopo. Take home ikabaki laki 1.5 nina mke na mtoto mmoja. Unaweza kuongea peke yako barabarani
Walimu wanna matatizo sana. Yaani sijui wametupiwa jini, hata sielewi.

Juzi hapa nilikuwa na mwalimu fulani, amekopa 8.5M NMB kwenda kununua gari.

Gari lenyewe hajanunua na pesa sijui kapeleka wapi. Mwenyewe anadai ana biashara, lakini muda wote kafulia.

Juzi tu hapa, nimemkuta tena anataka kukopa CRDB kwa kile kiasi kilichobaki.

Kumbuka ,huyu mwalimu hata kuthibitishwa kazini bado, na hata Bodi ya Mikopo hawajaanza kumkata.

Ina maana kwa kiasi cha pesa anachpata sasa hivi, akikikopea CRDB na Loan Board wakianza kumkata atakiwa hapati mshahara 😀

Na kama atapata, basi itakuwa labdaTsh 50,000
 
FB_IMG_16446472104251900.jpg
 
Sababu ya kukopa? kama unaona kbs uwezo wakupotezea hiyo sababu upo

potezea,ila kama unakopa ili upate pesa zaidi ya hiyo "go ahead" lakini tofauti

na hapo fanya uwezalo usikope,mara 100 uuze vitu/mali zako upate kiasi ukitakacho

Kama huna mali ya kuuza ukapata kiasi cha pesa unayoitaka kukopa,asee Usikope maana

ni dhahiri kbsa unakopa pesa iliyo juu ya uwezo wako,itakutesa sana kwenye kuirudisha,utanyooka!
 
Walimu wana QI ndogo sana...wananuka mikopo..bado chama chao kina walamba hela kila siku.

#MaendeleoHayanaChama
Lakini kuhusu kukopa mbona wafanyakazi wote wa serikali wanakopa ?, hapa nawaona manurse ,bibi afya,kilimo na mifugo ,watendaji wa kata na mitaa,madktari,na wengne wote naona wote wanakopa .Sasa nashangaa unavyosema walimu wana IQ ndogo kisa wanakopa.
 
Mikopo siyo mibaya ila fuata kanuni:

1. Usikope kwenye vitaasisi vyenye riba ya zaidi ya asilimia 2 kwa mwezi.

2. Usikope mkopo wa muda mrefu sana. Kama unahitaji mkopo wa muda mrefu sana, usizidishe miaka mine (4).

3. Usikope pesa kama huna uhakika wa kitu unachoenda kufanya.

4. Usikope kununua liabilities ( Vitu vya ndani, pikipiki, gari, radio, kulipa madeni mengine )

5. Linda sana Check No. Yako. epuka sana. Kutaoa Access ya Check No yako kukatwa katwa pesa na vitaasisi uchwara.
Kuna jamaa yangu mmoja, ile taasisi ya mkopo ya mke wa Mkapa- siikumbuki jina walimfanya hamna yani
 
Walimu wana QI ndogo sana...wananuka mikopo..bado chama chao kina walamba hela kila siku.

#MaendeleoHayanaChama
Kuhusu kuwa na IQ ndogo Mimi sijui.

Ila kwenye makato ya vyama vya wafanyakazi wote hawachekani.

Vyama vyote vinakata.
 
Walimu wanna matatizo sana. Yaani sijui wametupiwa jini, hata sielewi.

Juzi hapa nilikuwa na mwalimu fulani, amekopa 8.5M NMB kwenda kununua gari.

Gari lenyewe hajanunua na pesa sijui kapeleka wapi. Mwenyewe anadai ana biashara, lakini muda wote kafulia.

Juzi tu hapa, nimemkuta tena anataka kukopa CRDB kwa kile kiasi kilichobaki.

Kumbuka ,huyu mwalimu hata kuthibitishwa kazini bado, na hata Bodi ya Mikopo hawajaanza kumkata.

Ina maana kwa kiasi cha pesa anachpata sasa hivi, akikikopea CRDB na Loan Board wakianza kumkata atakiwa hapati mshahara [emoji3]

Na kama atapata, basi itakuwa labdaTsh 50,000
Halafu huyo huyo ndio amfundishe mwanao apate ufahamu.

Shule za umma ni changamoto
 
Sababu ya kukopa? kama unaona kbs uwezo wakupotezea hiyo sababu upo

potezea,ila kama unakopa ili upate pesa zaidi ya hiyo "go ahead" lakini tofauti

na hapo fanya uwezalo usikope,mara 100 uuze vitu/mali zako upate kiasi ukitakacho

Kama huna mali ya kuuza ukapata kiasi cha pesa unayoitaka kukopa,asee Usikope maana

ni dhahiri kbsa unakopa pesa iliyo juu ya uwezo wako,itakutesa sana kwenye kuirudisha,utanyooka!
Mkuu mbona umeongea point mbofumbofu sana leo? Huwa nakuaminia sana lkn leo umeniangusha. Kukopa kupo, hata akina mo wanakopa. Cha msingi mshauli mtu namna ya kuutumia mkopo.
Sio kila mtu ana mali ambazo anaweza kuuza akapata hela nzuri.
 
Walimu wanna matatizo sana. Yaani sijui wametupiwa jini, hata sielewi.

Juzi hapa nilikuwa na mwalimu fulani, amekopa 8.5M NMB kwenda kununua gari.

Gari lenyewe hajanunua na pesa sijui kapeleka wapi. Mwenyewe anadai ana biashara, lakini muda wote kafulia.

Juzi tu hapa, nimemkuta tena anataka kukopa CRDB kwa kile kiasi kilichobaki.

Kumbuka ,huyu mwalimu hata kuthibitishwa kazini bado, na hata Bodi ya Mikopo hawajaanza kumkata.

Ina maana kwa kiasi cha pesa anachpata sasa hivi, akikikopea CRDB na Loan Board wakianza kumkata atakiwa hapati mshahara 😀

Na kama atapata, basi itakuwa labdaTsh 50,000
Uongo kunogesha genge, NMB hakuna mkopo mkubwa hivo kama hujathibitishwa kazini
 
Back
Top Bottom