CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 7,001
- 23,449
Hujawahi miliki 1m au Hata kumiliki Asset yenye thamani ya 1m hujawahiMkuu mbona umeongea point mbofumbofu sana leo? Huwa nakuaminia sana lkn leo umeniangusha. Kukopa kupo, hata akina mo wanakopa. Cha msingi mshauli mtu namna ya kuutumia mkopo.
Sio kila mtu ana mali ambazo anaweza kuuza akapata hela nzuri.
unataka kukopa 3m hiyo pesa utailipa lipaje? siwezi shauri mtu akope wala
shauri mtu namna ya kutumia mkopo,MO anakopa ila anakopa pesa ambayo
hata leo waseme tupe hela yetu anaweza rudisha pesa ya watu,Usikope kwa
kuangalia unataka kufanyia nini hiyo hela, kopa kwa kujiuliza Je! nina uwezo wa
kurudisha hii pesa ya watu incase things goes viceversa?! ukikopa kwa kutegemea
unachotaka kukifanyia baada ya kukopa ndio kirudshe mkopo Umepotea/umeumia.
Mikopo ni ya Matajiri TU wenye Stable income not otherwise, Tuna ambiana ukweli hapa.