Mimi ni mwalimu, naacha kazi nijiajiri

Sarri alianza Coaching kama part time....

Ukifanya unachokipenda unaweza pia ukawa self employed au katika fani ile ile au ukatengeneza stream nyingine ya pesa kutumia ualimu wako; ile knowledge unayowapa watoto ukaifanya practically.., kama unafundisha kilimo ukawa na shamba darasa.., kama unafundisha masomo fulani ukatengeneza vitabu, electronic media n.k. kuwauzia wanafunzi n.k

Haya mambo ya kufanya kazi ili first and far most upate pesa ndio yanafanya waalimu wasiende extra mile na kuwa wabunifu.., wanafanya kile tu mtaala unasema au hata kile hawafanyi ili mradi mshahara wamepata.., ingekuwa wana wito wa kazi wangekuwa hawalali wanaangalia ni vipi wanaweza kutumia teknolojia kuwafundisha wanafunzi wazito.., na kila kukicha wana-update masomo yao kulingana na current affairs.., na kama mwalimu mzuri mzuri tu watu watanunua hizo bidhaa.., na moja ya investment kubwa kwa wazazi ni elimu kwa watoto wao
 
Da kweli hiyo kada inadharaulika sana yaani unashangaa lakini 9 kupata MWL. Sijajua unashangaa as a basic salary or take home?? Vyovyote iwavyo wengi tu wamevuka kiwango hicho
Hata mimi nashangaa sababu Mama yangu alikuwa Mwalimu primary na alifika almost 1M...sema ilikuwa gross.
 
Acha kudanganya watu wewe basic salary ya mwl mwenye degree yaani TGTSD1 ni tshs 716000 (laki saba na kumi na sita elfu tu) na take home yake haifiki laki nne na nusu
Kuna madaraja...Mama yangu alikuwa anafundisha primary na hiyo kazi alianza muda tu....baadaye alijiendeleza na salary slip zake zilikuwa zinasoma gross 1M...Baada ya makato alikuwa anapokea kilo 8 hivi
 
Nakazia hapa na kusisitiza .
Pambana kufa kupona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haina haja utangaze.... wewe piga kimya kimya, ili ukizidiwa huko uendako urudi kutafuta ajira tena upokewe, kwani haya ni maisha tu... muhimu shilingi ipatikane.
Hajatangaza ameshare experience hili jukwaa la jamii, watu kushare na kuzungumza mambo mbalimbali ya kimaisha so anafanya vizuri maana atapata challenges na ushauri hapahapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
upo private au government ?? kama private sawa ila government vumilia chukua bumu la 15milion fanya biashara bila kuacha kazi
 
Tupe mrejesho Mwl wa hesabu uliyeamua kuacha kazi.
Hope utakuwa umesonga sana
 
Career
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…