TEMBO WANGU
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 930
- 1,290
Wakuu habari za muda huu, Kuna mijadala inaendelea hapa jukwaani juu ya Hali za maisha ya walimu. Ni kweli walimu tuna maisha magumu, kwa pamoja tumelipokea.
Ndugu zangu tunaomba ushauri wenu, tufanye biashara Gani ambazo zitatuingizia angalau kiasi Cha shilingi 10000 kama faida. Natumaini nitapata michango mingi Sana kutoka kwenu wadau.
Wazo lako la biashara lizingatie yafuatayo:
*Mwalimu anatoka shule saa Tisa
*Mwalimu % kubwa wapo vijijini ndani ndani
* Zingatia mshahara wa mwalimu
LOCATION:nipo Kanda ya ziwa
Cc
Mpwayungu Village, prompwayungu village
Ndugu zangu tunaomba ushauri wenu, tufanye biashara Gani ambazo zitatuingizia angalau kiasi Cha shilingi 10000 kama faida. Natumaini nitapata michango mingi Sana kutoka kwenu wadau.
Wazo lako la biashara lizingatie yafuatayo:
*Mwalimu anatoka shule saa Tisa
*Mwalimu % kubwa wapo vijijini ndani ndani
* Zingatia mshahara wa mwalimu
LOCATION:nipo Kanda ya ziwa
Cc
Mpwayungu Village, prompwayungu village