TEMBO WANGU
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 930
- 1,290
Location location location ndio hi determine ujasiria mali wako! location mkuu!!Wakuu habari za muda huu, Kuna mijadala inaendelea hapa jukwaani juu ya Hali za maisha ya walimu. Ni kweli walimu tuna maisha magumu, kwa pamoja tumelipokea...
ACHA kumdanganya jamaa wewe!Oook. Sasa fanya kitu kimoja. Kazi ya ualimu kutoboa sio rahisi wekeza kwenye ufugaji wa kuku wa nyama na mayai kazi ambayo utafanya bila kuathiri kazi Yako...
Nawajua maisha Yao nje ndani [emoji23][emoji23][emoji23]Muulize kiboko yenu mpwayungu village ana majibu yenu nyie walimu
Nafanya kazi hii, nimezaliwa kwenye kazi hii. No risk no successACHA kumdanganya jamaa wewe!
Umewahi fuga kuku wewe!!?au umesikia inspiration speakers!!?
Sio rahis kutoka mkuu kwenye hiyo!hao viumbe ni risk KWA magonjwa halafu afya yao ni dynamic sio ya kutegemewa ki hivyo!!
Bila ya kuwepo coment yako huuu uzi ungekua haunogi😁😁Oook. Sasa fanya kitu kimoja. Kazi ya ualimu kutoboa sio rahisi wekeza kwenye ufugaji wa kuku wa nyama na mayai kazi ambayo utafanya bila kuathiri kazi Yako...
UuNafanya kazi hii, nimezaliwa kwenye kazi hii. No risk no success
Hapana popote pale wanahimili! Aende agro veterinary akapate ushauri zaidiMuulize location,kuna baadhi ya maeneo hao viumbe wanazingua!
Uu
Jamaa anaonekana kuwa mweupe kichwani,ufugaji sio km unavyosimuliwa...ACHA kumdanganya jamaa wewe!
Umewahi fuga kuku wewe!!?au umesikia inspiration speakers!!?
Sio rahis kutoka mkuu kwenye hiyo!hao viumbe ni risk KWA magonjwa halafu afya yao ni dynamic sio ya kutegemewa ki hivyo!!
Kwani lazima aache ualimu 🤣🤣🤣Oook. Sasa fanya kitu kimoja. Kazi ya ualimu kutoboa sio rahisi wekeza kwenye ufugaji wa kuku wa nyama na mayai kazi ambayo utafanya bila kuathiri kazi Yako....
Ndio huwezi kubaki sehemu ya laanaKwani lazima aache ualimu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usirogwe ukachukua ushauri huu, kufuga kuku unahitajika uwepo 100% of your time la sivyo utatoka siku moja utakuta banda zima wamekufa na uliyemuweka hana maelezoOook. Sasa fanya kitu kimoja. Kazi ya ualimu kutoboa sio rahisi wekeza kwenye ufugaji wa kuku wa nyama na mayai kazi ambayo utafanya bila kuathiri kazi Yako...
Hapo inategemeana na upo sehemu ganiWakuu habari za muda huu, Kuna mijadala inaendelea hapa jukwaani juu ya Hali za maisha ya walimu. Ni kweli walimu tuna maisha magumu, kwa pamoja tumelipokea...
Maisha yangekua yanapangika hivi..sasa hv ningekua natembelea discovery 4Oook. Sasa fanya kitu kimoja. Kazi ya ualimu kutoboa sio rahisi wekeza kwenye ufugaji wa kuku wa nyama na mayai kazi ambayo utafanya bila kuathiri kazi Yako....