green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Bajaji ndio itamtoaNunua Bajaj uwe unakula vichwa jioni
Ivi una akili timamu? Apo kadhalilisha vipi Sasa ualimuSorry!! Unalevel Gani!?Yani umesoma mpaka level ya chuo huoni fursa huko ulipo!? Au unataka kulifurahusha genge!?
Mimi siamini kama unaweza kuwa umesoma na kulivyo na mitandao ya jamii Halafu ushindwe kujua ufanye Nini!? Nafikiri unalengo la kuudhalilisha walimu!
Location location location ndio hi determine ujasiria mali wako! location mkuu!n
Nipo Kanda ya ziwa mkuu
HAO VIUMBE mi note jinai hapa kwangu tena mixer kienyeji na KIZUNGU lakini napiga dawa lakini kufa kupo pale pale naishia kuwala tu hakuna faida ya I biashara mkuu!!Jamaa anaonekana kuwa mweupe kichwani,ufugaji sio km unavyosimuliwa...