DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
utapata JOB pia usiache kutoa update .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuuutapata JOB pia usiache kutoa update .
White hole ni opposite ya black hole kama black ina vuta vitu ndani white inatema vitu. All matters zinazomezwa na black hole haziwezi kupotea humo milele inasemekana zinatoka kwa kutumia white hole na inasemakana ku form baada ya black hole kushindwa ku suck matter in hapo ndio ina patikana white hole na theory nyingine inasema black hole zinaweza kuextend through time reverse ndio inapatikana white hole ila kuna baadhi ya scientist wanapinga uwepo wa white hole sababu zinapingana na 2nd law of thermodynamics kwamba entropy siku zote huwa sawa au inaongezeka na ambapo ni kinyume cha white holes sababu zenyewe zina decrease entropyWhite hole is the back side of blackhole
Bonge la wazo.Boss mimi ni mtaalamu wa mathematica. Kama utaweza fanya tufungue twisheni center ya phy na math
Uko wapi
Njop inbox mkuuUko wapi
Wewe nakujua ni mtaalamu wa mbususu, wanafunzi watapata taabu sana😂😁Bonge la wazo.
Mie mtaalamu wa english
Sasa aii tuna hukuwa wakiume tuu mwanawane kuavoid temptation.Wewe nakujua ni mtaalamu wa mbususu, wanafunzi watapata taabu sana😂😁
Tutumie common sense tu. Jibu alilotoa mtoa mada linashawishi maana halijataja ubluu wa bahari kama ndiyo chanzo cha ubluu wa mbingu.Unapinga unataka nikupe equation uamini
Naomba jibu mkuu.Naomba nikujibu kwa uchache mkuu
Let us chat inboxHabari zenu ndugu zangu.
kama nilivyojitambulisha mimi ni mhitimu wa shahada ya ualimu wa somo la physics mwaka 2022 na G.P.A ya 3.7 .
Nina uwezo mzuri wa kufundisha vidato vyote (form 1 mpaka form 6) na vyuo vya kati pia.
Nimefundisha shule kadhaa za sekondari kabla ya kuingia mazima kwenye ujasirimali ambako pameenda isivyo.
Ninaombeni kazi ndugu zangu
Kwa sasa nipo kibaigwa
0778117626
Nenda katafute ardhi. Ukiishaipata. Tafuta kitabu cha darasa nne chenye shairi la Karudi Baba Mmoja,, utapata kazi.Habari zenu ndugu zangu.
kama nilivyojitambulisha mimi ni mhitimu wa shahada ya ualimu wa somo la physics mwaka 2022 na G.P.A ya 3.7 .
Nina uwezo mzuri wa kufundisha vidato vyote (form 1 mpaka form 6) na vyuo vya kati pia.
Nimefundisha shule kadhaa za sekondari kabla ya kuingia mazima kwenye ujasirimali ambako pameenda isivyo.
Ninaombeni kazi ndugu zangu
Kwa sasa nipo kibaigwa
0778117626