Mimi ni mwalimu wa science (Physics), ninaombeni kazi ndugu zangu

Mimi ni mwalimu wa science (Physics), ninaombeni kazi ndugu zangu

Habari zenu ndugu zangu.

kama nilivyojitambulisha mimi ni mhitimu wa shahada ya ualimu wa somo la physics mwaka 2022 na G.P.A ya 3.7 .

Nina uwezo mzuri wa kufundisha vidato vyote (form 1 mpaka form 6) na vyuo vya kati pia.

Nimefundisha shule kadhaa za sekondari kabla ya kuingia mazima kwenye ujasirimali ambako pameenda isivyo.

Ninaombeni kazi ndugu zangu

Kwa sasa nipo kibaigwa

0778117626
Boss mimi ni mtaalamu wa mathematica. Kama utaweza fanya tufungue twisheni center ya phy na math
 
mkuu Mnafiki Wa Kujitegemea
maji ya moto ukichanganya na sabuni ukioshea vyombo hasahasa vyenye mafuta ni rahisi zaidi kuoshela haraka na vizuri kuliko kutumia maji ya kawaida na sabuni.

Ndio mana nikataka teacher hapo atupie shule kidogo kuhusu inakuwa je kwa theory za physics.
Ninafahamu,lkn pale kiingilishi chako kimekutoroka 😂😂😂😂😂😂
 
Watabe wote wa fizikia mliojitokeza kwenye huu uzi, naomba mnifahamishe namna nyambizi inavyofanya kazi, kuanzia kuzama na kuibuka kwake pamoja na utashi wake wa kufyatua makombora ikiwa chini ya maji bila maji kuingia ndani.
 
Back
Top Bottom