Hatari yaani huyu mtu balaaa....hesabu haina namba hapo ndio mie nilichokaga kabisaaaaKwa hiyo mkuu yale ma Quantum physics yote unayajua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari yaani huyu mtu balaaa....hesabu haina namba hapo ndio mie nilichokaga kabisaaaaKwa hiyo mkuu yale ma Quantum physics yote unayajua?
Sawa so if blackhole are form by a death of star then what about whitehole how are they formedMaswali ya kitoto haya katika mada za seriously mkuu
sawasawaUDSM (muce)
Dah kuyajibu haya maswali halafu ndani sioni hata dalili ya jiko kuwaka nachoka mkuu.Sawa so if blackhole are form by a death of star then what about whitehole how are they formed
Boss mimi ni mtaalamu wa mathematica. Kama utaweza fanya tufungue twisheni center ya phy na mathHabari zenu ndugu zangu.
kama nilivyojitambulisha mimi ni mhitimu wa shahada ya ualimu wa somo la physics mwaka 2022 na G.P.A ya 3.7 .
Nina uwezo mzuri wa kufundisha vidato vyote (form 1 mpaka form 6) na vyuo vya kati pia.
Nimefundisha shule kadhaa za sekondari kabla ya kuingia mazima kwenye ujasirimali ambako pameenda isivyo.
Ninaombeni kazi ndugu zangu
Kwa sasa nipo kibaigwa
0778117626
Uko wapiBoss mimi ni mtaalamu wa mathematica. Kama utaweza fanya tufungue twisheni center ya phy na math
Mkuu ulimuuliza mwalimu swali ambalo majibu yake unayo ?Hapa mwalim umefeli, ni hivi :
maji ukiyachemsha una lower it is surface tensions hivyo ni rahisi sana kukolea sabuni na kutoa mafuta haraka tofauti na maji ya kawaida.
White hole is the back side of blackholeSawa so if blackhole are form by a death
Ninafahamu,lkn pale kiingilishi chako kimekutoroka 😂😂😂😂😂😂mkuu Mnafiki Wa Kujitegemea
maji ya moto ukichanganya na sabuni ukioshea vyombo hasahasa vyenye mafuta ni rahisi zaidi kuoshela haraka na vizuri kuliko kutumia maji ya kawaida na sabuni.
Ndio mana nikataka teacher hapo atupie shule kidogo kuhusu inakuwa je kwa theory za physics.
Kama ajapata jibu mwambie nimsaidie ...Ninafahamu,lkn pale kiingilishi chako kimekutoroka 😂😂😂😂😂😂
Matumizi ya;Kama ajapata jibu mwambie nimsaidie ...
Ni ishu ndogo za surface tension
Kulugha ndo nini mkuuMatumizi ya;
Its,
It's
It is
Yanakusumbua ndio maana nikakuambia kulugha kimekutoroka. Nenda kwenye hiyo comment uangalie vizuri ulivyojibu.
Nilitaka kuandika (kilugha).Kulugha ndo nini mkuu
Mmh, napinga hii fizikia kwa hoja ya maeneo ambayo yapo mbali na bahari.Rangi ya blue kutoka kwenye bahari inaakisiwa kwenye mawingu ...
Mambo ya scatter hayo kaka
Nimekuelewa mkuuNilitaka kuandika (kilugha).
Unapinga unataka nikupe equation uaminiMmh, napinga hii fizikia kwa hoja ya maeneo ambayo yapo mbali na bahari.
Naomba nikujibu kwa uchache mkuuWatabe wote wa fizikia mliojitokeza kwenye huu uzi, naomba mnifahamishe namna nyambizi inavyofanya kazi, kuanzia kuzama na kuibuka kwake pamoja na utashi wake wa kufyatua makombora ikiwa chini ya maji.