Mimi ni mwanabaiolojia na huu hapa ndio uthibitisho wa uhalali wa Mungu(2)

Mimi ni mwanabaiolojia na huu hapa ndio uthibitisho wa uhalali wa Mungu(2)

Very craziness state.! Unapokuwa hivyo ni rahisi kuonekana una matatizo fulani ya akili

Kuishi katika hali hiyo ni kuwa mfu/hai sijui kitaalam inaitwajwe hii
Kuishi Kwenye illusion ni kama kutembea gizan na kupoteza tumaini la maisha kila sku utajiuliza tunazaliwa tunatafuta pesa tunakufa tunaacha mali ,sasa maana yamaisha ni nini ?ila ukijua haya maisha utayaona kama scane ya move tu unakaa pembeni na pepcorn ukiutazama mchezo mzma, huku unajua ucheze vip ufunge magoli vizuri
 
Pia ni bora kuudanganya ubongo ili uishi kwa maigizo tu , sex ni kwaajili ya kuzaliana tu , uwo utamu unao hisi Kwenye sex ni illusion tu, ipo Kwenye ubongo zaidi ndo maana ukiwa unasex akikuambia nameza ARV utamu wote kwisha, sex kwa ajil ya kuzaliana utamu unao kichwani .
Mi ntasema ule ni utamu halisi bhana for all intents and purpose katika hali yetu hii ya kimwili. Ni kitu kipo, labda kinadharia ndio useme illusion.

Utamu wa kweli huja kila wakati mtu anapofanya kitu cha maana kwa maisha, mfano kuongeza mtoto, kupata chakula chenye nishati nyingi[calories]. Kumsaidia rafiki na kupata mafanikio maishani. Zote hizi ni utamu za kweli maishani

Utamu wa uongo ni ule hauna maana au uko kinyume na maisha mfano kujichoma daya ya kuuambia ubongo 'kuna raha' wakati hakuna cha maana chochote kilichofanyika kwa maisha
 
Mi ntasema ule ni utamu halisi bhana for all intents and purpose katika hali yetu hii ya kimwili. Ni kitu kipo, labda kinadharia ndio useme illusion.

Utamu wa kweli huja kila wakati mtu anapofanya kitu cha maana kwa maisha, mfano kuongeza mtoto, kupata chakula chenye nishati nyingi[calories]. Kumsaidia rafiki na kupata mafanikio maishani. Zote hizi ni utamu za kweli maishani

Utamu wa uongo ni ule hauna maana au uko kinyume na maisha mfano kujichoma daya ya kuuambia ubongo 'kuna raha' wakati hakuna cha maana chochote kilichofanyika kwa maisha
Utamu wa sex unafanya nini cha maana Kwenye maisha? Kwann ili usikie utamu lazma uwe na maandalizi kwanza kiakili ? Utamu niliozungumzia apa niwa sex tu ambao bila kichwan KUWA na udanganyfu fulani hauwezi kuupata,ukitaka kujua ule utamu ni illusion waulize wapiga nyeto ,uwo utamu pia unaweza kuupata tu ukifanya imagination bila hata kusex.
 
Mungu ni energy' energy can not be created no destroy
Energy cannot created nor destroyed, If that case then tell us how did god create energy?

Kama energy iliweza form bila kuumbwa basi there's no reason kumsifu kwa uumbaji kwasababu vipo vitu vilivyoweza kuwepo bila kuumbwa

Na hapo unapata kitu kingine kuwa Mungu pamoja na uwezo wote alionao hana uuwezo wa ku destroy enery kwasababu cannot be destroyed
 
Utamu wa sex unafanya nini cha maana Kwenye maisha? Kwann ili usikie utamu lazma uwe na maandalizi kwanza kiakili ? Utamu niliozungumzia apa niwa sex tu ambao bila kichwan KUWA na udanganyfu fulani hauwezi kuupata,ukitaka kujua ule utamu ni illusion waulize wapiga nyeto ,uwo utamu pia unaweza kuupata tu ukifanya imagination bila hata kusex.
Utamu wa sex ni ishara tu ya kwamba unachofanya ni cha maana kwa maisha. Utamu sio lengo la maisha ni ishara ya lengo fulani kutimia. Kwa hiyo hili liwe angalizo lwa watu badala ya kutafuta raha, we tafuta kufanya cha maana kwa wenzio hiyo ndiyo itakupa raha.

Hata huo wa nyeto nao ni utamu, sema ni uongo mtu hazalishi kweli. Ndio unamanifest kichwani na hilo halizuii kuwa halisi for all intents and purpose in our physical biological bodies.

Unajua nn? concept zako za illusion ni za kweli ukiitazama kutoka labda dimension nyingine ya kiroho. Lakini hapa duniani kwa sasa tunamanifest physically na muda/utamu unatuathiri kwa hiyo kuita 'ni illusion tu' kwa sasa inakuwa sio. Sema labda ile kujua kuwa sio vitu vya msingi ikupe uhuru usiwe bonded navyo hata sasa lakini sio kusema kwamba ni illusion tu.
 
Energy cannot created nor destroyed, If that case then tell us how did god create energy?

Kama energy iliweza form bila kuumbwa basi there's no reason kumsifu kwa uumbaji kwasababu vipo vitu vilivyoweza kuwepo bila kuumbwa

Na hapo unapata kitu kingine kuwa Mungu pamoja na uwezo wote alionao hana uuwezo wa ku destroy enery kwasababu cannot be destroyed
Rejea mantiki ya maelezo yangu energy ndo mwamuzi wa mwisho, kwangu mimi Mungu ndo energy (supernatural power) the creator. Mantiki ya MUNGU kidini ni uongo uli kutupumbaza tuweze kutawalika kirahisi,kwahyo logic zngu usizijudge kupitia mafundisho yoyote ya din.
 
Utamu wa sex ni ishara tu ya kwamba unachofanya ni cha maana kwa maisha. Utamu sio lengo la maisha ni ishara ya lengo fulani kutimia. Kwa hiyo hili liwe angalizo lwa watu badala ya kutafuta raha, we tafuta kufanya cha maana kwa wenzio hiyo ndiyo itakupa raha.

Hata huo wa nyeto nao ni utamu, sema ni uongo mtu hazalishi kweli. Ndio unamanifest kichwani na hilo halizuii kuwa halisi for all intents and purpose in our physical biological bodies.

Unajua nn? concept zako za illusion ni za kweli ukiitazama kutoka labda dimension nyingine ya kiroho. Lakini hapa duniani kwa sasa tunamanifest physically na muda/utamu unatuathiri kwa hiyo kuita 'ni illusion tu' kwa sasa inakuwa sio. Sema labda ile kujua kuwa sio vitu vya msingi ikupe uhuru usiwe bonded navyo hata sasa lakini sio kusema kwamba ni illusion tu.
Watu walipo Anza kuutafuta utamu Kwenye vyakula ndipo vyakula vilipogeuka sumu, kazi ya ngono ni kwa ajili ya kuongezeka tu, huo utamu ulipo fanywa kama dhumuni ndipo ndoa za jinsia moja zilipo anzia.
 
Energy cannot created nor destroyed, If that case then tell us how did god create energy?

Kama energy iliweza form bila kuumbwa basi there's no reason kumsifu kwa uumbaji kwasababu vipo vitu vilivyoweza kuwepo bila kuumbwa

Na hapo unapata kitu kingine kuwa Mungu pamoja na uwezo wote alionao hana uuwezo wa ku destroy enery kwasababu cannot be destroyed
Vitu gan vipo bila energy kuchange Kwenye physical form .
 
Rejea mantiki ya maelezo yangu energy ndo mwamuzi wa mwisho, kwangu mimi Mungu ndo energy (supernatural power) the creator. Mantiki ya MUNGU kidini ni uongo uli kutupumbaza tuweze kutawalika kirahisi,kwahyo logic zngu usizijudge kupitia mafundisho yoyote ya din.
Nimekuelewa vizuri

Na ndio maana nasema kumbe kwa fact hiyo dhana ya mungu kuwa na nguvu ya kuumba kila kitu ni uzushi

Kwasababu energy haiumbwi

Na hawezi hata kui angamiza kwasababu energy haiwezi kuangamizwa
 
Nimekuelewa vizuri

Na ndio maana nasema kumbe kwa fact hiyo dhana ya mungu kuwa na nguvu ya kuumba kila kitu ni uzushi

Kwasababu energy haiumbwi

Na hawezi hata kui angamiza kwasababu energy haiwezi kuangamizwa
MUNGU atajiangamizaje mwenyewe wakati yeye ndo energy (wanadamu sisi ndo tulitafuta jina sahihi linalopatana na akili ,tukaita Mungu ila hyo yote ni energy au supernatural power)
 
Nimekuelewa vizuri

Na ndio maana nasema kumbe kwa fact hiyo dhana ya mungu kuwa na nguvu ya kuumba kila kitu ni uzushi

Kwasababu energy haiumbwi

Na hawezi hata kui angamiza kwasababu energy haiwezi kuangamizwa
Kuumba ni neno tu energy can not be created no destroy but can change from one form to another form (iyo kuchange ni kuumba sasa)
 
Kwa hiyo sisi na vitu vyote na universe ni matokeo ya Energy (MUNGU)kuchange. (Dini zimeiba hii zikasema Mungu yupo ndani yenu)
 
MUNGU atajiangamizaje mwenyewe wakati yeye ndo energy (wanadamu sisi ndo tulitafuta jina sahihi linalopatana na akili ,tukaita Mungu ila hyo yote ni energy au supernatural power)
Energy ni supernatural power?

You must be talking about something else that we both don't know
 
Kuumba ni neno tu energy can not be created no destroy but can change from one form to another form (iyo kuchange ni kuumba sasa)
Oh this is pseudoscience and I have nothing to deal with
 
Kuumba ni neno tu energy can not be created no destroy but can change from one form to another form (iyo kuchange ni kuumba sasa)
Kwa hiyo ata ukifa unarudi kwenye state tu nyingne,as maji, mvuke na barafu and vice versa
 
Energy ni supernatural power?

You must be talking about something else that we both don't know
Ukisema supernatural power ni hyo energy kubwa kabsa ya asili inayo control maumbile because inside supernatural power kuna energy.
 
Ukisema supernatural power ni hyo energy kubwa kabsa ya asili inayo control maumbile because inside supernatural power kuna energy.
Supernatural power ni ushirikina
 
Back
Top Bottom