Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Tanzania matusi gereji ni sawa na kanisani kusema bwana asifiwe. Nimewahi kufanya kazi nilepitch pale mwanza karibu na mwatex aisee yule muhindi alikuwa na matusi ya dunia nyingine siyo tunayoishi hii maana nilkuwa sijawahi kusikia matusi kama yale. Japo mimi alinikubali sana kujituma na nidhamu.(fani yako hii ya umeme nami ndo fani yangu )Kila harakati inachangamoto zake kikubwa ni kuwa mvumilivu ili kutimiza ndoto yako
Mungu abariki kazi ya mikono yako
Nikaenda gereji nyingine kwa mnyatunzu yupo barabara ya kwenda ilemela ukipita pansias unakata kulia wanapaita sabasaba karibu kabisa na mbao fc au kwa waunza mbao na feniture.
Yule jamaa alikuwa hajawahi kumuita mtu jina lake hasa hawa manyokaa
pale nilikuta mtu anaitwa kisimi imagine! na majina mengine ya aina hiyo.Ukweli nidhamu nakujituma nilikuwa napendwa sana ila sikutukanwa mimi ijapokuwa kuna matusi ya general hayo nilikuwa siya kwepi.
Komaa dogo utafika mbali sana hapo Arusha kuna jama angu ukiitaji kujifunza zaidi mimi siyo mchoyo nakuunga nae ni dogo tu anakuzidi kama miaka6 hivi yupo vzr sana kwenye umeme wa magari