Mynd177
JF-Expert Member
- Dec 3, 2022
- 2,817
- 5,141
Kama jamaa hapo juu!Wewe upoje?
ngoma alizozitaja mwana nilizipenda toka sijafikisha miaka 10, kuchangamana na watu ndo mtihani hata sijawah kuwa na mpenzi, mostly nakuwaga mwenyewe...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama jamaa hapo juu!Wewe upoje?
Usiseme unapiga mkonobaoKama jamaa hapo juu!
ngoma alizozitaja mwana nilizipenda toka sijafikisha miaka 10, kuchangamana na watu ndo mtihani hata sijawah kuwa na mpenzi, mostly nakuwaga mwenyewe...
Wewe utakua Phlegmatic Sanguine sio bure huyu ni Melancholic CholericHuyu Tayari dishi limetikiswa na upepo wa kisulisuli
Shukrani mkuu umenielewa vemaMkuu kwa hii comment nmeishia hapa maana yeye mwenyew anajiita melancholic. Atafte tu sanguine wataendana saana kwa wanaojua tabia ya hawa watu huyu anaishi kwenye uhalisia
It's true, brother, our life challenges us to some extent, but that's how we were created, we feel very safe when we're alone and we enjoy it.SAFI SANA MKUU
Thats how i kill time... sina shobo na watu, changamoto ni type ya kazi nafanya inanikutanisha na watu sana na inademand kuongea, kuna muda nawaza kuacha sema kisanga ni kupata kaz nyngne..
NOMA SANA MKUU..Usiseme unapiga mkonobao
Maana yake mkonobao unahusika? maana umekomalia sina demuNOMA SANA MKUU..
Kwa hio unapiga baomkono?Mynd177 sometime mpaka madem zetu tunaona kama wanatuchanganya tu wakati feeling ishachanganya kwenye kichwa huwa atutaki mtu mbele yetu hii hali inanitesa kwa upande mwingine ila cwez kujibadilisha
Fanyeni mkawahi vitanda kule dom,na inaonekana pia huwa mnapenda kuongea peke yenu na kutabasamu wenyewe basi fanya kama nilichowaelekeza.NOMA SANA...
Nipo kama wewe tu.....
Are you interested in reading books??
Mkuu kwa namna ninavyojijua mimi, sidhani kama naweza kuwa na mahusiano, maana nasikiaga watu wanaongea na mademu zao wanaulizana umekula? nimekumiss nk. nk. nk... this sounds like a waste of time to me.. tena ukizingatia siwez hata kupiga stor na vidume wenzangu hao mademu ndo usiseme.....Mynd177 sometime mpaka madem zetu tunaona kama wanatuchanganya tu wakati feeling ishachanganya kwenye kichwa huwa atutaki mtu mbele yetu hii hali inanitesa kwa upande mwingine ila cwez kujibadilisha
Hapana mkuu sipigi mkonobao...Maana yake mkonobao unahusika? maana umekomalia sina demu
ila kuchangia Jf unawezaMkuu kwa namna ninavyojijua mimi, sidhani kama naweza kuwa na mahusiano, maana nasikiaga watu wanaongea na mademu zao wanaulizana umekula? nimekumiss nk. nk. nk... this sounds like a waste of time to me.. tena ukizingatia siwez hata kupiga stor na vidume wenzangu hao mademu ndo usiseme.....
Huku fresh tena tunakuwa na confidence kama zoteila
ila kuchangia Jf unaweza
Yes na ndio maana tunaambiwa tinaringa au tunajiskia but you can't do the stupid thing of forcing yourself to be like other peopleMkuu kwa namna ninavyojijua mimi, sidhani kama naweza kuwa na mahusiano, maana nasikiaga watu wanaongea na mademu zao wanaulizana umekula? nimekumiss nk. nk. nk... this sounds like a waste of time to me.. tena ukizingatia siwez hata kupiga stor na vidume wenzangu hao mademu ndo usiseme.....