Mimi ni nani?

Mimi ni nani?

Ulimhisia Gardner?
Umejuaje? Kuna video nilimuona yeye na lady jay Dee..walikuwa wamekaa lady lay Dee akampa zawadi gadner akapokea huku anatabasamu...Kila nikimuangalia gadner naona Hana maisha tena Yan amefika mwisho...Yan Kuna energy inaniambia huyu si wa dunian tena. Na hiyo video niliiona Instagram mwaka huu, gadner akiwa mzima wa afya kabisa
 
Habari JF members..

Nina issue huwa inanisumbua akili kidogo kuhusu Mimi mwenyewe.

Mimi Huwa nina uwezo wa kuhisi kifo kwa mtu nikimuangalia. Yaani kuna hali fulan inaniambia huyu mtu hana muda mrefu atakufa na hii hali huwa inatokea mara chache sana.

Kitu kingine, ni ndoto zangu Huwa naota kitu kinakuja tokea kweli ila sio ndoto zote ni ndoto chache sana.

Au nikifanyiwa kitu kibaya na hicho kitu kikaniumiza sana kuliko kawaida basi nikiongea neno lolote kwa yule aliyenifanyia ubaya basi lazima litamkuta jambo ambalo si zuri.

Je, hii Hali ni ya kawaida au?
Duh kama ndoto zako zinatokea kweli angalia usije ukaota unaliwa tigo, maana ndoto nazo hazina adabu sometime.
 
Gahawaaa
FB_IMG_1705089700649.jpg
 
Back
Top Bottom