Umejuaje? Kuna video nilimuona yeye na lady jay Dee..walikuwa wamekaa lady lay Dee akampa zawadi gadner akapokea huku anatabasamu...Kila nikimuangalia gadner naona Hana maisha tena Yan amefika mwisho...Yan Kuna energy inaniambia huyu si wa dunian tena. Na hiyo video niliiona Instagram mwaka huu, gadner akiwa mzima wa afya kabisaUlimhisia Gardner?
aliokuambia nina ujinga ni nani kama si unaa wako?Kwasababu ujinga ni wako
Comments zako zinaonyesha unaoaliokuambia nina ujinga ni nani kama si unaa wako?
Duh kama ndoto zako zinatokea kweli angalia usije ukaota unaliwa tigo, maana ndoto nazo hazina adabu sometime.Habari JF members..
Nina issue huwa inanisumbua akili kidogo kuhusu Mimi mwenyewe.
Mimi Huwa nina uwezo wa kuhisi kifo kwa mtu nikimuangalia. Yaani kuna hali fulan inaniambia huyu mtu hana muda mrefu atakufa na hii hali huwa inatokea mara chache sana.
Kitu kingine, ni ndoto zangu Huwa naota kitu kinakuja tokea kweli ila sio ndoto zote ni ndoto chache sana.
Au nikifanyiwa kitu kibaya na hicho kitu kikaniumiza sana kuliko kawaida basi nikiongea neno lolote kwa yule aliyenifanyia ubaya basi lazima litamkuta jambo ambalo si zuri.
Je, hii Hali ni ya kawaida au?
inakuaje we mwerevu unasoma ujinga kama si mpumbavu?Comments zako zinaonyesha unao
comment za ujinga unazisoma za nini? Acha kiherehereComments zako zinaonyesha unao
Samahani Dogo una mpesa hapo nikutumie ya sodainakuaje we mwerevu unasoma ujinga kama si mpumbavu?