Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,360
- 2,269
- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] mtuache.Wanawake wakati mwingine hawaeleweki utakuta wanampenda mtu kwa ajiri ya security lakini hawako tayari kuolewa na walinzi.
Hii comment imekaa kichokozi mno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti "nyota baba"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyota baba
Taarifa tena?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ahsante kwa taarifa...
Royal tour oyeeHabari wanaJF.
Niende kwenye mada, kumekuwa na misemo humu kuwa wanawake wanapenda mwanaume smart, mcheshi na mtundu na sifa kede kede.
Kwangu mimi ni tofauti kabisa, kwanza sina ucheshi(kutabasamu, kucheka wala kuongea ni kwa nadra sana).
Pili mimi sio smart kimavazi. Sio smart kabisa. Ila ninachohakikisha ni kuwa mavazi yangu sio machafu na hayanuki. Kupiga pasi pia na mimi ni paka na panya. Yaani ni rough mno kiujumla hasa kimavazi.
Pia mimi sipo romantic na sipendi kuzoeana sana na wanawake japo wao wanataka sana kunizoea.
Nina sura kavu kidogo yenye tabasamu adimu mno, sipendi stori na wasichana na sipendi utani nao.
Ajabu ni hii[emoji116][emoji116]
Wananikubali sana, huwa sihongi ila nimewala wengi mno tena warembo hasa. Na wengi wanajipendekeza sana kwangu, wengine wake za watu wengine masista duu..
Sasa najishangaa wanapenda nini? Nikisoma kwenye vitu ambavyo huvutiwa navyo mimi sina hata kimoja, japo sio mfupi ni mrefu kiasi.
Kwa kweli najishangaa mno, nimewakataa wengi sana na wengi bado wananikubali.
Nimewahi kupata convos zao kwa msg wakiniongelea. Aisee wamenisifia na kunipamba mpaka naona aibu sasa wakati mimi niko very normal.
Jamani hapa shida nini? Siifurahii hii hali.
Karibuni.!
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Huenda, ila sijawahi toka na demu wa hapo karibu. Hili ni hata kwa demu tusiyejuana, mara nyingi huvutiwa mno na mimi, ila many times nakuwa sina time nao.Itakuwa unapeleka Sana Moto wanahadithiana
Wakishapata stor zako wanajileta wenyewe
Nyota? Sidhani! Be real acha michanganyo.!Mybe nyota
[emoji23][emoji23][emoji23] "...na upole kidogo...". Upole upi hiyo kidogo[emoji23][emoji23][emoji23] fafanuaMkuu huo ukauzu kutopenda kupiga story na wanawake ovyo. Na upole kiasi na kujiamini ndicho kitu wanachokuelewa na kuna ile hali ya mtu kujiweka kiume zaidi hivyo wanakuona upo real gentleman.
Pia ukiwa na baya watakukataa wote maana wanaambiana hao. Na ndio maana kama unawapiga show nzuri wanaambiana na wakisha ambiana na kutafuta kimasihara[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi sina element za uhuni mkuu[emoji23][emoji23][emoji23] najishangaaga na kuishia kucheka tuWanawake wanapenda watu wenye uhuniuhuni tofauti na sisi wenye element za ulokole
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dingi mbishi umezingua aiseeUna kijini mahaba kishtobe
Upole ni ile hali ya mtu kutokua mripokaji au mtu wa kkudandia mambo sasa hiyo kitu wanaipenda na wanamini mwanaume mpole yupo romantic[emoji23][emoji23][emoji23] "...na upole kidogo...". Upole upi hiyo kidogo[emoji23][emoji23][emoji23] fafanua