Mimi ni rough, nywele rough na sijali wala kuhonga na wanawake wananikubali sana. Kwa nini?

Nyota baba
Hii comment imekaa kichokozi mno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti "nyota baba"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Royal tour oyee
 
Mkuu huo ukauzu kutopenda kupiga story na wanawake ovyo. Na upole kiasi na kujiamini ndicho kitu wanachokuelewa na kuna ile hali ya mtu kujiweka kiume zaidi hivyo wanakuona upo real gentleman.

Pia ukiwa na baya watakukataa wote maana wanaambiana hao. Na ndio maana kama unawapiga show nzuri wanaambiana na wakisha ambiana na kutafuta kimasihara🤣🤣🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23] "...na upole kidogo...". Upole upi hiyo kidogo[emoji23][emoji23][emoji23] fafanua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…