Mimi nikimwangalia mtu miguuni jinsi alivyovaa viatu na kichwani jinsi alivyo napata jibu moja kwa moja naongea na mtu wa namna gani

Kujua mazingira ya mtu anayoishi.

Kujua uwezo wa mtu kichwani.
Kujua tabia ya mtu.

Natazama hair style na shoe style ya mtu baaasi.

Wewe unatazama nini?
View attachment 3135508
View attachment 3135515
Kuna mwanangu ana show room mwenge mpakani pale ila ukimuona siku zote kavaa pensi na zile cross unaweza sema ni za kwenda kuogea au chooni but ni around 240k

Na mwengine dalali toka nimjue mwaka wa 4 huu sijawahi muona kavaa jeans muda ote yupo kwenye kaunda/suti au kachomekea full tai police washaznguliwa sana kwa kumhis kitengo.

So zile zama za kumjua mtu kupitia mavazi au muonekano zama hizo zimeshapitwa na wakati kwani kwa sasa tupo kwenye zama za kila mtu anataka kuwa bosi/mwajiriwa

Enzi hizo za kuvaa na kunyoa unavyotaka ni kipendi kile cha kila mtu alikuwa ana ndoto ya kuwa mwajiriwa nod days generation ime change
 
Nimesoma comment nimecheka sana na ndio maana Taifa hili watu wanatapeliwa sana. Ndio maana kina Mr. Kuku na wazee wa Vanilla kule Njombe walikuwa wanawapiga watu simply kwa ku-judge mtu mwonekano.

Of course kuwa rough sio kitu kizuri lakini kama umekutana na mtu yupo rough wakati mwingine ni vyema kumchukulia kawaida unaweza kigundua kitu na kama ni waluwalu unampotezea mazima
 
Akivaa kibalaghashia unajua huyo ni mtu mwema eti. Akivaa kanzu vipi ?
Akivaa rozali na kanzu za shingo ya duara huyo vipi ? .Akivaa vitenge na bazee inakuwaje ?
Kaa ujue mavazi ni utamaduni ma mazingira hayahusiani na akili ila tabia. Tabia nalo ni jambo la kimazingira na umri. Mda mwingine watu wana pretend tu.
 
Hii ina ukweli ila mpauko haujifichi
 
Muogope sana mtu anayeonekana smart on the outside hata pasipo sababu Za msingi,na muheshimu mtu ambaye yupo simple but tidy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…