Vijana jiandikisheni acheni porojoTanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Atakayejitokeza kushiriki chaguzi hizi za kipuuzi kwa mazingira haya, ni aidha ni mfaidika wa hizi chaguzi za kihuni, au hana shughuli ya kufanya.