Mimi nilifanya mtihani wa darasa la saba mwaka 2013, wewe je?

Mimi nilifanya mtihani wa darasa la saba mwaka 2013, wewe je?

Sasa hivi Mtihani wa Darasa la saba wala sio mtihani ni kukamilisha tu ratiba.... waulize kina Mwigulu kipindi cha enzi zile mkoa mzima huenda asifaulu mtu au shule inatoa mtu mmoja baada ya miaka kadhaa..., Au unadhani kwanini wanasema Mwigulu Nchemba sio jina lake ?
 
Back
Top Bottom