Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
-
- #141
HakikaKila mtu duniani ni tapeli.Tunapishana viwango na nyanja tu.
Uhalisia namshukuru Mungu nilipata kitu kizuri so Haba, Ila nikikumbuka Γ±avosoma mchana ili usiku Nika πΊπΊπΊπHiyo GPA inaonesha ulikuwa unaandika namba kwenye Booklet alafu unakusanya tu π
Unapigia kitabu dsm au wap mkuu?Hakika
Naona aibu kutaja mimiNdio maana kataa ndoa wapo wengi humu kumbe hata maziwa ya mama zao bado yana nukia vinywani mwao
Mimi 1994
DSM mkuuUnapigia kitabu dsm au wap mkuu?
Najua mzee ulifaulu peke yako mkoa mzimaNovember 1971
Avatar inamaelezo tosha kabisa πUhalisia namshukuru Mungu nilipata kitu kizuri so Haba, Ila nikikumbuka Γ±avosoma mchana ili usiku Nika πΊπΊπΊπ
2008
Sema tu mkuu, sio jambo la aibu hiloNaona aibu kutaja mimi
Acha nisome comments zenu vijana
Nimepokea ππHeshima yako dada mkubwa.
Vyema1996
1996
sawaJinga wewe hawajauliza mwaka wa kuzaliwa πππππππππππ
Ni vyema kama na wewe utasema mwaka wako wa kumalizia msingiSawa mkuu tumejua mwaka wako wa kumaliza msingi hatuna mengi.
Kwangu imekuwa muda sana ndugu yangu.Ni vyema kama na wewe utasema mwaka wako wa kumalizia msingi
π€£π€£ Tena anatoa ushuhuda na katoto ka 2005Wazee wa JF miyeyusho sana. Saivi unaandika hivi baadae nakukuta kwenye uzi wa Kula tunda kimasihara, unatoa ushuhuda.