Nimeuliza tu sio kwa ubayaUsijali...vipi unataka kuniwowa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeuliza tu sio kwa ubayaUsijali...vipi unataka kuniwowa?
Sawa Senior citizen kumbukumbu zangu zinanipeleka 2001.Duh nimemaliza miaka mingi sana aisee hata hilo somo lilikua bado kuunganishwa!!
I'm glad to be a member of Generation Z.Gen z
Litoto la buku 2
Heshima kwako mkuu, wakati huo mimi nilikuwa na miaka minne2004
Kwenda zako uko2002 jua linazidi kuzama 😅😅😅😅
Muwe mnasalimia wengine ni mafaza wenu humu.Heshima kwako mkuu, wakati huo mimi nilikuwa na miaka minne
Mkuu naelewa hilo, nafahamu wapo watu wazima wengi sana humu.Muwe mnasalimia wengine ni mafaza wenu humu.
Humu kuna wazee sana ambao hata kurusha jiwe litue mita 3 mbele hawawezi. Kwahiyo tuwe makini tusijepata radhi za jf.Mkuu naelewa hilo, nafahamu wapo watu wazima wengi sana humu.
Nilipofika la Tano B..Mvua kubwa,radi naupepo mkali iliondosha madarasa yote,ikabidi kwenda kusoma kijiji cha jirani,umbali wa kilo mita 40!Uzalendo ukanishinda😃....Bina Chumchang Changchum unaitwa huku.
Bina Chumchang Changchum unaitwa huku.
Usijibu wagonjwa bana 😹
Hutaki 😅😅😅Kwenda zako uko
anaandika maneno magumu magumu kama ya kwenye bibleEeeeee mwandiko wa mtu aliye zaliwa na kumaliza miaka hiyo upo je???
Nimeelewa,nilikuwa sijajua kama ni yeye🥲🥲🥲Usijibu wagonjwa bana 😹
Ila wewe mkorofi🤣🤣🤣Bado unamjibugi huyo mwendawazimu??
Huyo kaunganishwa kwenye grid ya taifa na dose kaacha kutumia muda wote anaweweseka 🤣🤣🤣