Mimi nimekata tamaa kabisa... Nimechoka...

Unajiona upo sawa kweli? Unajifanya una huruma sana na wanawake naona hela zako hazina shughuli za kufanya.Nunua mikate na soda kawape wale watoto wa mtaani au tembelea kituo cha wazee na uwape hapo sabuni
 
Mwambie hua unatembea na kiwanda Cha kutengeneza protein nyeupeee nzitoo,akaribie kiwandani.
 
We jamaa boya sana,yan unatoa hela moto hupeleki,peleka moto kaa pembeni,anza kumcontrol,
Binafsi hua nafanya hivi mdada akianza kunipenda penda sichelewi nahakikisha namu utilize vibaya mno napeleka moto vibaya mno, kama ni geto atafua huyo atapika huyo hata kama anakaa Kigamboni mimi Kimara mwisho atakuja kila siku ,na hizo hua ni zile wiki 2 tu za mwanzo
sababu najua huko mbele tutazinguana.
Baada ya hapo natulia sasa kumcheki kama alikua analiatiming za pesa ama lah
 
Nascreenshot hii mkuu itakuwa reply yangu nikiombwa hela
 
Mmmh huu Uzi wakutunga.
CD imeruka sehemu nyingi sana.

Halafu usitudhalilishe, hakuna mwanaume boya hivi.
 
Licha ya hizi lawama zote, haujatwambia suala Zima la kimasihara limehusika au liko nje ya mjadala? Yaani haujapata kabisa huduma?

Ulikua na mpango Gani nae?
Kilichokipa kivhefchef ni ulevi wake na tabia ya kujisifia, kukuchafua , au kuomba pesa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…