Mimi Nimeshajiandaa kusikia haya. Wewe je?

Mimi Nimeshajiandaa kusikia haya. Wewe je?

Kutokana na kelele za walio wengi huku mitandaoni na jinsi tunavyojua kuwa Mama amekuwa ni wa kusikia sana habari za mitandaoni nategemea na binafsi nimeshajiandaa na haya machache kutokea.

1. Kuanzishwa tena kwa mradi wa bandari ya Bagamoyo ambao tunajua kuwa moja ya masharti yake ni kuwa hatutakanyaga pale kukusanya kodi kwa miaka 35.

2. Kusitishwa kwa mradi wa umeme bwawa la Rufiji ambalo lingezalisha zaidi ya Megawatts 2100.

3. Kuuzwa ama kukodishwa kwa ndege zote za ATCL

4. Mwendo wa kusua sua wa mradi wa reli mpya treni ya umeme

5. Madawa ya kulevya kuuzwa kama pipi mitaani

6. Kutokuwa na Waziri au naibu Mawaziri kutoka mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Geita
Comments za Sukama Gang hizo...............

Baada ya kuona mama Samia anaungwa mkono umma Wa watanzania na yule ndugu yenu mwendazake, akipopopolewa mawe kutoka kila pande!
 
Poleni sana ndugu zetu ila tunashukuru Baadhi yenu Akili zimeanza kurudi taratibu...
IMG_20210401_220345.jpg
 
Kwani unafikiri nini chanzo cha hayo yote uliyotarajiwa kubadilika tofauti na mwanzo?
 
Punguza mihemko mkuu wakati anadanganya ulikuwepo na hukuweka ukweli hapa ili watu waone ukweli wenyewe ni upi
Mimi mkuu natembea na kauli ya Mh. Spika! Amesema wazo kabisa Rais hakushauriwa vizuri!
 
Kutokana na kelele za walio wengi huku mitandaoni na jinsi tunavyojua kuwa Mama amekuwa ni wa kusikia sana habari za mitandaoni nategemea na binafsi nimeshajiandaa na haya machache kutokea.

1. Kuanzishwa tena kwa mradi wa bandari ya Bagamoyo ambao tunajua kuwa moja ya masharti yake ni kuwa hatutakanyaga pale kukusanya kodi kwa miaka 35.

2. Kusitishwa kwa mradi wa umeme bwawa la Rufiji ambalo lingezalisha zaidi ya Megawatts 2100.

3. Kuuzwa ama kukodishwa kwa ndege zote za ATCL

4. Mwendo wa kusua sua wa mradi wa reli mpya treni ya umeme

5. Madawa ya kulevya kuuzwa kama pipi mitaani

6. Kutokuwa na Waziri au naibu Mawaziri kutoka mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Geita
Hiyo namba 5 mbona ni zaidi ugoro huku mtaani tangu kitambo mbona mzigo upo wa kutosha
 
Back
Top Bottom